• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Siasa Mkoa yaridhishwa na Miradi ya Maendeleo Wilayani Misungwi

Imewekwa : May 23rd, 2024

Kamati ya Siasa CCM Mkoa wa Mwanza  yaridhishwa  na kupongeza utekelezaji wa Miradi ya sekta ya Elimu na Miundombinu ya ujenzi wa Barabara inayoendelea kutekelezwa Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe, Rais,Dkt. Samia Suluhu Hassan katika juhudi za kuboresha na kukuza Uchumi wa Wananchi imeendelea kuleta neema katika sekta ya Elimu, Maji na miundombinu ya barabara  kwa kutoa fedha za kujenga miradi na hatua za ukamilishaji zinaendelea vizuri.

Wakikagua maendeleo ya ujenzi wa barabara yenye mita zaidi ya mita 800 iliyojengwa kwa kiwango cha Changarawe katika Kata ya Usagara kwa gharama ya zaidi ya  Milioni 110 Wilayani Misungwi, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Mhe, Michael Masanja (SMART) amesema kwamba Wananchi wa maeno ya Usagara na Wilaya ya Misungwi wanaendelea kunufaika na miradi ya Serikali ya awamu ya sita.

Wakati huo huo, Wajumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Mwanza  pia wamekagua ujenzi wa Mabweni katika Shule ya Sekondari Misungwi nakuonyeshwa kufurahishwa na ujenzi wa mabweni hayo ambapo aliwaagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi kuhakikisha  wanaweka miundombinu ya Nishati ya umeme katika bweni hilo lililojengwa katika Shule ya Sekondari ya Misungwi na ametoa ahadi ya kuwapatia Seti moja ya Luninga (Television) ili kuwawezesha Wanafunzi hao kujifunza na kupata taarifa mbalimbali za maendeleo ya nchi na kimataifa.

Kwa Upande wake Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe, Johari Samizi ameishukuru Kamati ya Siasa Mkoa wa Mwanza kwa kufanya ziara na kukagua maendeleo ya miradi katika Sekata ya maji, Miundombinu ya barabara na Sekta ya Elimu msingi na Sekondari na kuwaomba waendelee kufanya ufuatiliaji huo ili kuwezesha miradi hiyo kukamilika kwa wakati.

Baadhi ya Miradi ikiwemo Mradi wa Maji wa Ukiriguru - Usagara  ambayo ilitembelewa na Kamati ya Siasa Mkoa wa Mwanza tarehe 23,Mei,2024 ambapo Kamati ilijionea hatua ya miradi hiyo na kuwataka kukamilisha miradi kwa wakati.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.