• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Siasa Mkoa Mwanza yakagua Miradi Misungwi,yaonyesha kutoridhishwa na baadhi ya Miradi - RC awa mbogo

Imewekwa : August 20th, 2021

Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza imetembelea na kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi na kutoridhishwa na baadhi ya miradi.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Mhe, Antony Diallo pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wameonyesha kutoridhishwa na utekelezaji na usimamizi wa baadhi ya miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Kata na vijiji vya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ambapo kwa mwonekano na maelezo ya Wataalam inaonyesha kutotekelezwa na kusimamiwa kikamilifu na kutozingatia ubora wa majengo ya Serikali.

Akizungumza katika ziara hiyo Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mhe, Antony Diallo amesema kwa ujumla  baadhi ya miradi haikutekelezwa na kusimamiwa ipasavyo hususan Jengo la Mabaara katika Sekondari ya J.Magufulu Kata ya Gulumungu ambalo Serikali imetoa shilingi Milioni 90 kukamilisha ujenzi amabo unaonekana kutokamilika  vizuri kutokana na fedha kutumika zote na bado ukamilishaji unaendelea.

Mhe, Diallo aliongeza kwamba kuna ujenzi wa Jengo la Zahanati ya Mwamaguha ambapo zilitolewa shilingi Milioni 50 kukamilisha Jengo lakini ujenzi haukusimamiwa vizuri na Wahandisi wa Halmashauri na Kamati ya ujenzi kutoshirikishwa katika hatua zote za ujenzi, ikizingatiwa kwamba Serikali kwa sasa inasimamia na kutekeleza ujenzi kwa kutumia Force Akaunti kwa matumizi  ya mafundi wa maeneo husika na manunuzi ya vifaa kwa bei ya sokoni.

Kwa upande wake Mjumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi  Robert Gabriel ameeleza kuwa Kamati imekagua na kubaini mapungufu na taarifa itaandaliwa vizuri na kuwasilishwa katika vikao vya chama Mkoa  pamoja na kuagiza uongozi wa Halmashauri  hiyo yenye jumla ya Kata 27 kufuatilia na kushughulikia mapungufu yaliyobainika na baada ya hapo hatua za kiutumishi zitaanza kuchukuliwa kwa watakaohusika katika ubadhilifu ama uzembe katika utekelezaji wa miradi husika..

Mhandisi Robert Gabriel amesema kwamba usimamizi wa matumizi ya fedha za umma  unaonekana kutozingatia kanuni na taratibu na Watendaji wameonekana kutokuwa waadilifu katika matumizi ya fedha na mali za umma, ametolea mfano Serikali imetoa fedha shilingi Milioni 90 kukamilisha ujenzi wa vyumba vitatu vya Maabara katika Sekondari ya J. Magufuli ambapo ujenzi umefanyika na fedha yote imetumika na hakuna bakaa ya fedha na Jengo linaelekea kutokamilika vizuri wakati huo Serikali imetoa fedha shilingi Milioni 60 ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vitatu kwa ramani ile ile katika Sekondari ya Sanjo na Jengo limekamilika vizuri na kwa ubora  na limeanza kutumika .

Katika ziara hiyo ya Kamati ya Siasa Mkoa ambayo iliambatana na Wajumbe wote , Wataalamu wa Sekretarieti ya Mkoa, Waataalam wa Wakala wa Serikali,  RUWASA, TARURA, TANNESCO, pamoja na Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Misungwi, Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Misungwi, Wakuu wa Idara na VItengo wa Halmashauri wameweza kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo  utekelezaji wa za shughuli za miradi  ya Ujenzi wa Maabara katika Sekondari ya J. Magufuli, Ukamilishaji wa Jengo la Zahanati ya Mwamaguha,  ukamilishaji wa ujenzi wa Jengo la Zahati ya Mhungwe, Mradi wa ununuzi wa Dawa na vifaa Tiba katika Haospitali mpya Wilaya ya Misungwi, Jengo la ofisi za Halmashauri, Jengo la Soko la Kijiji cha Kigongo na Mradi wa utoaji Fidia katika Eneo la Standi ya Mabasi Nyashishi.

Jengo la ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi lilojengwana Mkandarsai Wakala wa Mjaengo Tanzania (TBA) kwa gaharama ya shilingi Biliioni 2.8 limekamilika na Watumishi wameshahamia na kuanza kazi, Kamati ya Siasa Mkoa imepongeza juhudi na usimamizi wa Wtendaji na Viongozi.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Mhe, Antony Diallo (kulia) akizungumza na Mhe Diwani wa Kata ya Kijima Ezekiel Kanzaga na Viongozi wengine kuhusu hatua za ujenzi wa Jengo la Zahanati ya Mwamaguha lilivyojengwa kwa mafundi wenyeji na manunuzi ya vifaa (Katikati ni) Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel akisikiliza mjadala huo. katika ziara ya Kamati ya Siasa kukagua ujenzi wa Zahanati hiyo.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.