• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yawataka Watendaji wa Kata na Vijiji kutoa Elimu ya Shughuli za Lishe kwa Wananchi.

Imewekwa : February 27th, 2025

Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yawataka Watendaji wa Kata na Vijiji kufanya maadhimisho ya siku ya Afya na Lishe ya Kijiji kwa ajili ya kutoa Elimu ya Shughuli za Lishe kwa Wananchi katika Halmashauri ya Misungwi  Mkoani Mwanza.

Akizungumza mapema katika kikao hicho leo tarehe 28 Februari 2025 Mwenyekiti wa Kamati ya Lishe Bw. Clement Morabu ambaye ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Misungwi amewataka Wajumbe na Wakuu wa Idara kuendelea na ufuatiliaji na usimamizi wa hali ya Lishe katika maeneo yao na kukamilisha uwekaji wa Bajeti ya shughuli za Lishe katika Mpango na Bajeti ya mwaka ujao 2025/2026, kuzisisitiza Idara ya Elimu msingi na Sekondari kuhakikisha wametenga fedha za kutosha kutekeleza shughuli za Lishe mashuleni ili kuwapatie Lishe bora Watoto na Wananchi wa Misungwi na kuwahimiza Watendaji wa Kata na Vijiji kutekeleza maelekezo na maagizo yanayotolewa hususani suala la maadhimisho ya siku ya Afya na Lishe ili Wananchi waendelee kupatiwa Elimu na kufahamu faida za Lishe.

Kwa upande wake Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bi. Lucia Bazili wakati akiwasilisha taarifa ya  viashiria vya utekelezaji wa Maendeleo ya shughuli za Lishe Wilayani Misungwi na kadi alama,  ameeleza kwamba hali ya utoaji wa Lishe katika shule za msingi na Sekondari imeendelea kuimarika kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka 2024/2025 inayoishia Disemba 2025 na watoto wanaendelea kupata mlo mmoja wakati wa masomo na Wazazi na Wananchi wamehamasika katika suala la uchangiaji wa Chakula mashuleni.

Amewataka na kuwakumbusha Watendaji wa Kata na Vijiji  wa Halmashauri kufuatilia na kusimamia utekelezaji pamoja na kuhakikisha wanafanya Maadhimisho ya siku ya Afya na Lishe ambayo kwa mujibu wa taratibu na sharia hufanyika mara moja kwa kila robo ya mwaka kwa lengo la kutoa Elimu na hamasa ya shughuli za Lishe kwa Wananchi  ili kuweza kufikia malengo ya Mkataba wa Lishe.

Katika kikao hicho cha Kamati ya Lishe ngazi ya Halmashauri kimewashirikisha Wakuu wa Idara na Wataalam mbalimbali kutoka sekta za afya, elimu, kilimo, na maendeleo ya jamii, Fedha, Mipango na Ufuatiliaji, Habari na Mawasiliano pamoja na Utawalana raslimali watu.




Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.