• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Huduma za Kijamii yaridhishwa na Ujenzi na Ukarabati wa Miradi ya Sekta ya Elimu

Imewekwa : January 30th, 2018

Kamati ya Huduma za Kijamii yaridhishwa na kufurahishwa na utekelezaji wa ujenzi na Ukarabati wa Miradi ya Sekta ya Elimu katika Shule za Msingi za Busagara,Kigongo na Mitindo pamoja na Shule ya Sekondari Idetemya na kupongeza juhudi zinazofanywa kwa usimamizi wa Kamati za Shule.  

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati hiyo,Mhe,Ngwanza Nyahehe alieleza kuhusu Miradi iliyotembelewa ambayo ni pamoja na Ujenzi wa Jengo la Vijana katika Hospitali ya Misungwi kwa Shillingi 15,420,00/=, Ujenzi na Ukarabati wa Bweni,Jiko na Vyumba 4 na ofisi 1 shule ya Msingi Mitindo,Mradi wa Ujenzi wa Maji Bomba wa Nyahiti-Misungwi kwa shilingi 9,000,000,000/= na Ujenzi wa Choo matundu 7 na utengenezaji wa thamani za shule katika Shule ya Msingi ya Busagara   kwa shillingi 9,933,145/=,Mradi wa ukarabati wa Vyumba 14 vya Madarasa na ujenzi wa Mfumo wa Kuvuna Maji katika Shule ya Sekondari Idetemya kwa Shilingi 63,000,000/= pamoja na Ukabarabati wa Vyumba 8  na utengenezaji wa thamani  kwa shilingi  9,934,120/= na Ujenzi wa Choo Matundu 16 kwa gharama ya shilingi 30.000.000/= 

Mwenyekiti huyo wa Kamati alisema kwa ujumla Miradi hiyo imetekelezwa kwa kiwango na thamani ya fedha imeonekana na kueleza kuwa Kanmati za Shule zimesimamia kikamilifu na kuzingatia ushauri wa Wataalam wa Idara ya Ujenzi pamoja kuzingatia hatua za manunuzi .


  

  Pichani juu ni Jengo la Choo cha Wavulana  matundu 7 kilichokamilika kwa Shillingi 6,313,145 katika Shule ya Msingi Busagara


Picha ikionyesha Ujenzi wa taki lenye Ujazo wa lita 70,000 la kuvuna Maji lililojengwa katika Shule ya Sekondari Idetemya.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.