• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Fedha yatembelea Miradi ya Maji na kuagiza Wakandarasi wasimamiwe kikamilifu

Imewekwa : February 5th, 2018

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango imeiagiza Menejimenti ya Halmashauri kuhakikisha inasimamia kikamilifu Miradi ya Maji inayotekelezwa na kukamilika kwa wakati.ili kuleta manufaa kwa Wananchi wa Wilaya ya Misungwi kwa kupata huduma bora ya Maji.

Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe,Antony Bahebe Masele alieleza hayo wakati wa Ziara ya Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango ya kutembelea na kukagua Miradi ya Maji ya Ihelele- Mbarika na Mradi wa Ngaya -Mbarika ambao umeshaanza na unaendelea katika hatua ya kujenga Matanki mawili ambapo amewataka Wataalam kuhakikisha wanasimamia Wakandarasi na kutoa ushauri wa kitaalamu kwenye hatua zote za utekelezaji Miradi husika ili iweze kukamilika kwa kiwango na ubora zaidi.

    Pichani ni Tanki la Maji lenye ujazo wa Mita 45,000 linaloendelea kujengwa katika Kijiji cha Lutalutale

Kamati hiyo ilifanya Ziara kwa ajili ya kukagua na kuona shughuli zilzotekelezwa kwa kipindi cha robo ya pili kinachoishia mwezi Disemba 2018 ambapo wameweza kutembelea Miradi ya Maji katika Kata ya Mbarika na Ilujamate na kutoa ushauri na mapendekezo kwa Menejimenti 

Wajumbe wa Kamati hiyo walipata fursa ya kuona hali halisi ya utekelezaji wa Miradi husika kwa kukagua kwenye chanzo cha Maji cha Ihelele pamoja na Matanki ya Nyangh'omango ambacho kitasambaza Maji katika Kijiji cha Nyang'homango ,na kuona hatua za Ujenzi wa Machoteo 9 yaliyokamilika kutoka Kijiji cha Ngaya,Bugisha,na Lutalutale na tanki lenye ujazo wa lita 45,000 linaloendelea kujengwa katika Kijiji cha Lutalutale.

Kwa upande wake Mhandisi wa Maji wa Halmashauri, Ali Mruma alieleza na kufafanua kuhusu utekelezaji wa Mradi huo unaotekelezwa na Kampuni ya CMG COMPANY LTD kwa kujenga Matanki mawili,Kutandaza mabomba kutoka Ngaya hadi Mbarika na kujenga Machoteo 9 kwa ajili ya Matumizi ya Wananchi na Mradi unatarajiwa kukamilika mwezi Mei 2018.

  Wajumbe wa Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango wakikagua Mojawapo ya Machoteo ya Maji yaliyojengwa kwenye Mradi wa Ngaya-Mbarika.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.