• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya fedha,Uongozi na mipango yaridhishwa na miradi ya Maendeleo Wilayani Misungwi

Imewekwa : August 10th, 2022

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango yaridhishwa na miradi ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa vizuri na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Mkoani Mwanza.

Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa miradi hiyo, Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe, Kashinje Machibya amepongeza Menejimenti na Watendaji kwa kusimamia kikamilifu miradi hiyo ya maendeleo ambayo imetekelezwa na inaendelea kutekelezwa kwa fedha za Serikali, wafadhili na michango ya Wananchi.

Mhe, Machibya amesema kwamba kiujumla miradi imetekelezwa kwa kiwango na ubora na thamani ya fedha inaonekana ambapo katika mradi wa ujenzi wa Zahati ya Mwawile iliyopo Kata ya Nhundulu ambayo imetengewa kiasi cha shilingi milioni 400,000,000/= fedha ya UVIKO 19 ikiwa na majengo mawili,Jengo ni Jengo la wagonjwa wanje (OPD), Jengo la maabara.

Aidha Mhe, Machibwa amewataka wahandisi wanaosimamia ujenzi wa Zahanati hiyo kuzingatia vigezo na ushauri vilivyowekwa na kitaalamu na siyo vinginevyo,Sambamba na hilo amesema sehemu zinazohitaji marekibisho zifanyike kwa wakati kuondoa gharama zisizo za lazima.  

Mhe, Kashinje Machibya amesema kwa ujenzia unaendelea katika Shule ya Sekondari Mwanangwa iko katika hatua nzuri na inaridhisha na kuwataka wasimamizi wa Shule hiyo waendelee kufanya kazi kwa bidii na kuzingatia maelekezo wanayopewa na wataalamu ili kufanya kazi nzuri na yenye viwango bora vinavyotakiwa katika ujenzi.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri wa Wilaya ya Misungwi Bw,Benson Mihayo amesema kwa kushirikiana na Menejimenti ataendelea kusimamia kwa uadilifu mkubwa  na kuhakikisha miradi maendeleo yote  inakamilika  ili wananchi waweze kupata huduma bora  inayostahili kwa wakati.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya Bw,Clement Morabu ametoa shukrani za pekee kwa Serikali ya awamu sita kwa kajiri watumishi katika Zahati hiyo,na tayari wapo kituoni wanachapa kazi,hata hivyo amsema kuna nyumba ya watumishi ambayo imegharimu milioni 90,000,000/=kwa kutumia force akaunti,ambapo  ujenzi unaendelea na fedha bado inahitajika ili kumalizia vitu vilivyo baki ikiwemo umaliziaji wa vyoo katika nyumba hiyo.


Mwenyeki wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe,Kashijnje Machibya wa pili kutoka mkono wa kulia akipata taarifa ya mradi wa Zahanati ya Mwawile iliyo Kata ya Nhundulu ambapo aliongazana na wajumbe wa kamati ya fedha na mipango katika Ziara ya ukaguzi.Kushoto ni Dkt Clement Morabu akitoa maelezo juu ya mradi huo.

Baadhi ya Waheshiwa Madiwani wakiongozwa na Mhe,Kashinje Machibya wa pili kutoka (kushoto),wa pili kutoka kulia ni Mhe,Mganyizi Ferouz diwani wa kata ya Misungwi wakiwa kwenye ziara ya ukaguzi wa mradi wa Zahanati Mwawile kata ya Nhundulu .

Baadhi ya wajumbe wa kamati ya Fedha Uongozi na mipango kushoto ni Mhandisi Wiliam,(katikati) Afisa utumishi Yusuf Lubuga wakitembelea Mradi wa Zahanati ya Mwawile ambapo walikagua na kutoa ushauri juu ya mradi huo.


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.