• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango yaridhia na Kupongeza Miradi Wilayani Misungwi

Imewekwa : February 19th, 2024

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yapongeza  Miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na kusimamiwa na Menejimenti kwa kutumia Mapato ya ndani pamoja na mapato kutoka Serikali kuu.

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango imefanya ziara tarehe19,Februari,2024 ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo ikiwemo  mradi wa ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Mwambola,Ujenzi wa Sekondari Mwanangwa pamoja ujenzi vyumba viwili vya madarasa katika Shule ya Msingi Mwanangwa na ujenzi wa matundu 6 ya vyoo katika shule hiyo.

Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa miradi hiyo, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe, Kashinje Machibya amepongeza Menejimenti na Watendaji kwa kusimamia kikamilifu miradi hiyo ya maendeleo ambayo imetekelezwa na inaendelea kutekelezwa kwa fedha za Serikali, wafadhili na michango ya Wananchi.

Mhe, Machibya amesema kwamba kiujumla miradi imetekelezwa kwa kiwango na ubora na thamani ya fedha inaonekana ambapo katika mradi wa ujenzi wa Shule ya sekondari Mwambola iliyopo Kata ya Misungwi ambayo imegharimu zaidi ya fedha Shilingi Milioni 500.

Aidha Mhe, Machibwa amesisisitiza wakati akizungumza na wanafunzi wa Shule hiyo kwamba miradi yote inayotekelezwa na Serikali ni jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan.

 “Jambo pekee ambalo mnaweza kumlipa ninyi ni kufaulu vizuri,amewaleteni shule  walimu wazuri na uongozi ambao upo karibu na ninyi,jukumu lenu kama Watoto ni kufaulu vizuri”.

Mhe, Machibya amesema kuwa mradi wa ujenzi wa vibanda unaendelea katika stand ya Misungwi ambao uko katika hatua ya upauji,Ofisi ya Mkurugenzi ipitie upya fedha iliyoidhinishwa kujenga vibanda hivyo ili kujiridhisha kama inaendana thamani ya ujenzi wa mradi huo.

Katika ziara hiyo Wajumbe wa Kamati kupitia Mwenyekiti wao wamempongeza Mkurugenzi pamoja na timu Menementi kwa namna anavyoshiriki kuhamasisha utekelezaji wa shughuli za miradi ya maendeleo.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri wa Wilaya ya Misungwi Bw.Joseph Mafuru amesema kwa kushirikiana na Menejimenti ataendelea kusimamia kwa uadilifu mkubwa na kuhakikisha miradi maendeleo yote inakamilika ili wananchi wa Misungwi waweze kupata huduma bora inayostahili kwa wakati.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe.Kashinje Machibya Kushoto,wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw. Joseph Mafuru (katikati) ni Afisa Elimu Sekondari Bi. Diana Kuboja akipokea taarifa fupi ya ujenzi wa Maabara katika Shule ya Sekondari Mwambola hapo jana.

Mwonekano wa baadhi ya majengo wa ya Shule ya Sekondari Mwambola iliyopo Kata ya Misungwi kijiji cha Mwambola ambapo imegharimu kiasi cha fedha zaidi ya Shilingi Milioni 500.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.