• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango ya tembelea na kukagua namna utoaji wa huduma bora kwa Wananchi Misungwi

Imewekwa : May 9th, 2024

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yakemea vikali baadhi tabia ya Watumishi wanaopokea na kutoa rushwa katika utoaji wa huduma ya Afya Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango imefanya ziara tarehe 08,Mei,2024 ya kutembelea na kukagua utoaji wa huduma bora kwa wananchi katika Hospitali ya Wilaya ya Misungwi,Vituo vya Afya vya Usagara,Misasi,Koromije,Mbarika,Busongo,pamoja na baadhi ya Zahati ili kujionea hali halisi namna wananchi wanavyopata huduma bora na kwa wakati pamoja na kuongea na watumishi katika vituo hivyo.

Akizungumza katika ziara hiyo katika Kituo cha Afya Mbarika, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe, Kashinje Machibya amesema jukumu la watumishi wa umma ni kutoa huduma bora kwa wananchi na kwa kuwahudumia kwa lugha ya staha na kuwajali pasipo kubagua mtu yeyote pindi anapohitaji huduma katika Hospitali,Vituo vya afya pamoja na Zahati kwa kuzingatia miiko na kanuni na misingi ya kazi katika kuwahudumia wagonjwa.

Aidha Mhe, Machibya amesema kwamba kuna baadhi ya Vituo vya afya havitoi huduma kama inavyotakiwa na kuwasababishia wagonjwa adha ya Kwenda kutafuta huduma sehemu nyingine,pamoja na kuwatoza baadhi ya  wagonjwa fedha kwa ajili ya kupata matibabu ikiwemo  huduma ya Mama wakati wa kujifungua amesisitiza suala hilo halikubaliki.

Katika hatua nyingine Mhe, Machibwa amekea vikali baadhi ya tabia za watumishi kuondoka kwenye vituo vya kazi kabla ya muda wa kazi kuisha ikiwa pamoja wizi wa dawa za Serikali,na kutoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi kuwachukulia hatua za kinidhamu kwa watumishi wote ambao wanakiuka maadili ya kazi wawapo kazini na iwe fundisho kwa watumishi wengine wenye tabia kama hizo.

Katika ziara hiyo Wajumbe wa Kamati kupitia Mwenyekiti wao wamesema wataendelea kutembelea na kukagua utoaji wa huduma bora kwa wananchi katika Wilaya ya Misungwi,na kutoa wito kwa watumishi kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na utu pindi wanapowahudumia wagonjwa.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri wa Wilaya ya Misungwi Bw.Steven Singira amesema kwa kushirikiana na Menejimenti ataendelea kusimamia nidhamu za watumishi na kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi na kutoa huduma bora na kwa wakati.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DAS Misungwi awapongeza Watendaji Halmashauri kwa kushirikiana na Madiwani katika kuongeza ufanisi na ukusanyaji wa Mapato.

    April 29, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yafanya ziara ya yatembelea na kupata mafunzo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya nyang'hwale Mkoani Geita

    April 25, 2025
  • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango yaridhishwa na miradi ya maendeleo ya Halmashauri Wilaya ya Misungwi

    April 23, 2025
  • Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yawataka Watendaji wa Kata na Vijiji kutoa Elimu ya Shughuli za Lishe kwa Wananchi.

    February 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.