• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango Wilaya ya Misungwi yapongeza Ujenzi wa Miradi ya maendeleo

Imewekwa : February 15th, 2019

Wajumbe wa Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Mkoani Mwanza  wamekagua na kupongeza utekelezaji  miradi mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa kwa fedha za Serikali, Wafadhili pamoja na Michango na nguvu za Wananchi Vijijini.

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango imefanya ziara hiyo kwa ajili ya kukagua miradi na shughuli mbalimbali zilizotekelezwa kwa kiapindi cha robo ya pili kuanzia mwezi Oktoba hadi Disemba mwaka 2018 na zinazoendelea kutekelezwa na kuona hali halisi ya utekelezaji na kutatua changamoto zilizopo pamoja na kushauri namna ya kukamilisha miradi husika kwa  viwango, ubora na kwa wakati .

Akizungumza katika ziara hiyo, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe,Paulo Kishinda alipongeza kazi inayofanywa na Menejimenti katika utekelezaji na usimamizi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa vijijini akitoa mfano katika mradi wa ujenzi na ukarabati wa maabara katika Sekondari ya Paulo Bomani ambao ujenzi upo katika hatua za ukamilishaji, na kazi zilizofanyika ni pamoja na ukarabati wa majengo matatu, upigaji lipu, marekebisho ya mfumo wa Gas, kuweka mfumo wa maji safi na taka na mfumo wa umeme na kazi imefanyika kwa kutumia mafundi wenyeji kwa gaharama ya shilling Millioni 50.

Mhe,Kishinda amesema kwamba baadhi ya miradi inaonekana kuwa na changamoto za utekelezaji na kusababisha kuchelewa kukamilika ukiwemo mradi wa ujenzi wa choo katika Shule ya Msingi Kigongo kwa gaharama ya shilingi Milioni 30, ambao umeanza tangu mwaka 2018, amewataka uongozi wa Shule na Menejimenti kufanya haraka ili mradi huo ukamilike ndani ya mwezi Machi 2019 na Wanafunzi waanze kutumia na kunufaika na mradi huo.

 Kwa upande wake Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri,Bi Anna Urioh ambaye pia ni Afisa Mipango wa Halmashauri  alieleza kwamba Menejimenti imeendelea kutoa ushauri katika Kamati za ujenzi wa miradi mbalimbali hususani katika taratibu za ujenzi,manunuzi na kuelekeza taratibu na sheria zote zifuatwe ili kuweza kuwa na majengo bora na imara na Viongozi wa Kata na Vijiji wameelekezwa kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa mara kwa mara na kutoa taarifa endapo mambo ya ujenzi na manunuzi hayaendi kikamilifu, pia timu ya wataalamu wa Idara ya ujenzi wameendelea kutembelea na kusimamia miradi husika na kutatua changamoto zinapojitokeza kwa wakati.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.