• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango imefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.9.

Imewekwa : October 21st, 2024

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango imefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.9 zinatazowanufaisha Wanafunzi kupata elimu Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa miradi iliofanyika 21 Oktoba 2024, Mwenyekiti wa Halmashauri Wilaya ya Misungwi Mhe, Kashinje Machibya amepongeza Menejimenti kwa kusimamia kikamilifu miradi hiyo ya maendeleo ambayo inaendelea kutekelezwa kwa fedha za Serikali, Shule ya Msingi Mabuki inayojengwa kwa  gharama ya  Shilingi Milioni 351.5 pamoja na na shule ya sekondari Amali yenye gharama ya Shilingi Bilioni 1.6.

Katika hatua nyingine Mhe, Machibya amewataka Watendaji wa Mradi hiyo kuhakikisha wanazingatia manunuzi kwa wakati kupitia mfumo wa NEST ili kuepuka kupata changamoto za ucheleweshwaji wa Miradi hiyo pia amewataka watoa risiti katika vituo kuhakikisha wanazingatia utendaji wa kazi ikiwa ni kutoa risiti kwa wakati kwa madereva ili kuimarisha upatikanaji wa mapato ya ndani ya Halmashari ambapo zitakua chanzo cha maendeleo kwa wananchi wa Wilaya ya Misungwi .

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri wa Wilaya ya Misungwi Bw.Addo Missama  amesema kwa kushirikiana na Menejimenti atasimamia kwa uadilifu mkubwa na kuhakikisha miradi maendeleo yote inakamilika ili wananchi wa Misungwi waweze kupata huduma bora inayostahili kwa wakati.

Kwa upamde wake Mhandisi ujenzi Wilaya ya Misungwi Bw, Edmund Kasiga amesema kuwa Shilingi Bilioni 1.6  itatumika kujenga shule ya Sekondari Amali yenye Madarasa 4 na ofisi 1, Jengo la Utawala , maabala 2 ,maktaba, nyumba ya mwalimu .chumba cha TEHAMA ,mabweni, vyoo 4 Wavulana na 4 Wasichana ,tankila maji la ardhini ,uwekaji vifaa vya umeme,karana ufundi uashi , uwamja wa mpira wa nyavu na uwanja wa mpira wa mikono.

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa mradi Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Mabuki Bi. Peruzi Chacha ameeleza kuwa gharama ya  Shilingi Milioni 351.5 itatumika kujenga Shule ya Msingi Mabuki yenye Madarasa 2 ya awali , madarasa 7 , jengo la utawala na vyoo 14 kwa wabulana na wasichana ambapo mradi huo unatarajiwa kukamilika Disemba 19 ,  2024.

Katika ziara hiyo miradi iliyokaguliwa ni shule mpya ya msingi Mabuki, , pamoja na shule ya sekondari amali, na kutembela vituo vya kutoa risiti ikiwemo Kona ya Mitindo , Stendi ya Misungwj stend ya nyashishi , kituo cha Sanjo pamoja na  kituo cha ukaguzi Usagara.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.