• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Fedha yaridhia Milioni 300 Mapato ya ndani kujenga English Medium 2025 Misungwi

Imewekwa : December 25th, 2023

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango yaridhia mpango wa kuanzisha ujenzi wa Shule ya mchepuo wa Kiingereza kwa kutenga shilingi Milioni 300 za Mapato ya ndani  katika Bajeti ya mwaka 2024/2025 Wilayani Misungwi.

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Misungwi Mhe, Kashinje Machibya wakati wa kikao cha kupitisha rasimu ya mpango na Bajeti ya Mapato na Matumizi ya Mapato ya ndani, ruzuku ya Serikali na Wafadhili kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 ambapo Kamati ya Fedha imeridhia na kukubali mpango ulioandaliwa na Menejimenti wa kuanzisha ujenzi wa shule mpya ya mchepuo wa Kiingereza kwa ajili ya watoto wa madarasa ya awali na msingi itakayogharimu fedha shilingi Milioni 300 za mapato ya ndani kwa lengo la kuboresha elimu kwa Wananchi wa Misungwi kwa kuhakikisha watoto wanapata elimu bora.

Awali akiwasilisha rasimu ya Bajeti ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/2025 kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Afisa Mipango Wilaya ya Misungwi Bi. Peniel Titus amesema kuwa Halmashauri inatarajia kukusanya na kutumia kiasi cha shilingi Bilioni 51.4 kwa ajili ya utekelezaji wa wa shughuli mbalimbali za Halmashauri ikiwa ni pamoja na malipo ya Mishahara ya Watumishi kiasi cha shilingi Bilioni 36,792,448,000, fedha za Ruzuku ya uendeshaji wa Ofisi (OC) kiasi cha shilingi 1,359,841,000, pia utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa shilingi Bilioni 8,636,386,000.

 Bi. Peniel Titus amefafanua kwamba Halmashauri ya Misungwi imekisia kukusanya na kutumia kiasi cha shilingi 4,677,820,361 kutoka vyanzo  vya mapato ya ndani ambapo kati ya fedha hizo Bilioni 3,946,152,361 ni Mapato halisi na Shilingi Milioni 31,668,000 ni Mapato Lindwa na kwamba Mapato ya ndani kwa Mwaka 2024/202425 yameongezeka kwa asilimia 4.15 kutoka Shilingi Bilioni 4,483,664,000.04 mwaka 2023/24 hadi shilingi Bilioni  4,677,820,361.3  kutokana na kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa matumizi ya mfumo wa kielektoniki wa ukusanyaji wa mapato na kuhakikisha fedha zote zinazokusanywa zinawekwa Benki kwa wakati, kuongezeka kwa watumiaji wa madini ujenzi hususani mchanga na mawe iliyopelekea kuongezeka kwa mapato ya madini ujenzi pamoja na kuongezeka kwa idadi ya viwanda na makampuni kupanda kwa ushuru wa Halmashauri.

Diwani wa Kata ya Misasi Mhe, Daniel Busalu akichangia hoja kuhusu kuanzisha ujenzi wa Shule ya watoto ya awali na msingi kwa mapato ya Ndani Bajeti ya  mwaka 2024/2025 na wengine kulia ni abaadhi ya Madiwani wajumbe wa Kamati ya Fedha.


Baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri wakisikiliza wakati wa kikao cha Kamati ya Fedha kupitisha Bajeti ya mwaka 2024/2025


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.