• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Jeshi la Sungusungu latakiwa Kudumisha Ulinzi na Amani kwa Maendeleo ya Taifa Wilayani Misungwi

Imewekwa : May 26th, 2024

Jeshi la Jadi la Sungusungu latakiwa kuendelea kuweka ulinzi na Amani kwa kushirikiana na wananchi kuhamasisha maendeleo ya Taifa na uchumi imara Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Wito huo umetolewa na Balozi Mstaafu Mhe.Rajabu Omari Luhwavi jana alipokuwa mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa Sungusungu kwa Kanda ya Ziwa uliokutanisha Mikoa minne ya Simiyu,Shinyanga,Mwanza na Tabora nakufanyika Kata ya Misasi Wilayani Misungwi.

Balozi Luhwavi ambaye ni mshauri wa Rais katika masuala ya Siasa na Uhusiano wa Jamii  amesema kwamba Jeshi la Jadi la  Sungusungu lina wajibu wa  kudumisha ulinzi na amani wakati wa kutekeleza majumu yao ya kazi kwa kulinda mali za raia pamoja na miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali maeneo yote.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe.Johari Samizi amefafanua kueleza kwamba Jeshi la Sungusungu lina mchango mkubwa katika kuhamasisha miradi ya maendeleo kanda ya ziwa hususan Wilaya ya Misungwi na kutoa wito kwa jeshi hilo kutowanyanyasa wananchi kwa kuwatoza faini ambazo hazikubaliki pamoja na kutumia utaratibu unaofaa pindi wanapo waadhibu watuhimiwa.

Kamanda wa Jeshi la jadi sungusungu Kanda ya Ziwa Mtemi Shimbi Morgan amesema na kusisitza kwamba jeshi hilo litaendelea kushirikiana na viongozi mbalimbali wa Serikali katika kudumisha amani na ulinzi na utulivu katika maeneo mbalimbali hapa nchini katika kutekeleza miradi ya maendeleo.

Hata hivyo Kamanda Morgan ameagiza viongozi wa jeshi hilo la jadi kuhakikisha matawi yote yanakuwa na sungusungu kwa kufuata utaratibu na vijana wajulishwe miiko ya sungusungu na taarifa hiyo ipate kwa kila mkoa,pia kuwataka viongozi kufanya kazi kwa kushiriana kila mmoja  kwa nafasi yake.

Naye Diwani wa Kata ya Misasi Mhe.Daniel Busalu ametoa pongezi na shukrani za Pekee kwa Rais wa awamu ya sita Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea fedha kwa ajili kutekeleza miradi ya maendeleo katika Sekta ya Afya,Elimu,Maji na Miundombinu ya barabara kwa wananchi wa Kata ya Misasi na Wilaya ya Misungwi kwa ujumla wake.

Makamanda wa sungusungu kutoka sehemu mbalimbali katika Mikoa minne ya Kanda ya Ziwa wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Viongozi ngazi Taifa ambapo mkutano huo ulifanyika jana Kata ya Misasi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.