• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Halmashauri yatarajia kukusanya Mapato zaidi ya shilingi Millioni 600 za Ushuru wa Pamba mwaka 2018

Imewekwa : April 21st, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi,Mkoani Mwanza yatarajia kukusanya Mapato ya Ushuru wa shilingi Millioni 600 kutokana na Pamba iliyolimwa katika vijiji vyote 113.

Akizungumza na Timu ya Waandishi wa Habari wakati wa ziara ya Mkurugenzi ya kutembelea maeneo ya Miradi,katika Kata ya Lubili,Mkurugenzi Eliurd Mwaiteleke alisema kwamba amefurahishwa na mwitikio wa wananchi wa Misungwiwa kulima zao la Pamba ambalo Serikali Wilayani humu ilihamasisha kila Kaya Kulima Pamba angalau kuanzia hekari 2 na zaidi.

 

Mkurugenzi Mwaiteleke alibainisha na kuweka bayana kwamba Wananchi wamelima Zao la Pamba ikiwa ni agenda ya Mkoa na Taifa kwa ujumla na wameweza kukopeshwa mbegu,Viuatilifu na zana za Kilimo ambazo watalipa mara baada ya kupata mavuno.

                                     

           Picha hapo juu,Katikati ni Silla Ntamuti Afisa Kilimo na Ushirika akitoa maelezo kuhusu maendeleo ya Zao la Pamba kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Eliurd Mwaiteleke (Mwenye Skafu)

Alieleza kwamba Halmashauri inatarajia kupata mapato ambayo ni ushuru wa Pamba zaidi ya shilingi Millioni 600 katika msimu wa mwaka 2018 kutokana na Wananchi wengi kulima Pamba ambayo imestawi katika maeneo vizuri na inaendelea vizuri licha ya kuonekana changamoto ya kuvamiwa na wadudu katika baadhi ya mashamba.

Kwa upande wake Afisa Kilimo na Ushirika,Silla Ntamuti alisema kwamba Wilaya ya Misungwi wamelima Hekari 38,971 ambapo wamehamasisha na kuitikia Wito na matarajio ya kuvuna zaidi ya tani 21,000 za Pamba na wataalam wameweza kukabilana na changamoto ya ya wadudu walioshambulia zao hilo ikiwa ni pamoja na mvua zilizonyesha.

Aliwapongeza Wakulima waliojitokeza kulima pamba msimu huu na kuwaomba watakapopata mavuno waweze kulipa fedha za pembejeo walizokopeshwa kwa ajili ya mbegu na Viuatilifu .

Akifafanua kuhusu athari na madhara yaliyosababishwa na mvua nyingi zilizonyesha Afisa Kilimo na Ushirika alieleza kwamba ni kweli mvua imeleta athari lakini hazina madhara yanayosababisha pamba kuduma mashambani na kwa sasa mvua hizo zinaelekea kukoma.

Katika Ziara hiyo Mkurugenzi Mtendaji ameweza kukagua na kuona shughuli na miradi mbalimbali ikiwemo Ukaranbati wa miundombinu katika Zahanati,Shule za Msingi na Sekondari na miradi ya Sekta ya Kilimo,Mifugo na Mazingira pamoja na barabara na Miundombinu ya Maji.na kuwataka Watendaji na Viongozi wa ngazi ya Kitongoji ,Kijiji na Kata kujituma na kuwajibika kila mmoja na kuwaletea Wananchi maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.