• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yapongezwa kwa kuwezesha mradi wa Elimu jumuishi ulioleta tija kwa watu wenye mahitaji maalumu

Imewekwa : November 20th, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yapongezwa kwa kuwezesha mradi wa Elimu jumuishi ulioleta tija kwa watu wenye mahitaji maalumu Wilaya ya Misungwi, mradi huu unatekelezwa kwa kuimarisha maisha ya  Wananchi na kuwasaidia kujikwamua kiuchumi kupitia elimu ya msingi na Sekondari..

Hayo yamebainishwa tarehe 20 Novemba, 2024 na Wakurugenzi na Mameneja wa Mashirika manne yanayotekeleza mradi wa Elimu jumuishi wakati wa kikao cha pamoja na Afisa Mipango na Uratibu Bi. Peniel Titus kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya ya Misungwi Bw. Addo Missama ambapo imeelezwa kuwa mradi unaotekelezwa na  Sense Intenational umetoa fursa kwa makundi mbalimbali, ikiwemo wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu, kupata mafunzo na rasilimali zinazohitajika ili kuboresha maisha yao na kutunaamini kuwa uwezeshaji huu utaleta mabadiliko chanya katika jamii zetu na kusaidia kupunguza umaskini.

Bi. Peniel ameongeza pia Mradi huo utatoa mafunzo ya ujasiriamali, usimamizi wa fedha, na mbinu za kilimo bora, ambayo yatasaidia wananchi kujenga uwezo wa kujitegemean ambapo  ushirikiano kati ya Serikali, wadau wa maendeleo, na jamii katika kuhakikisha mradi unatekelezwa kwa ufanisi.

Vile vile Mratibu wa Mradi wa Elimu Jumuishi Bw. Gerald Tupda ameeleza lengo la ziara hiyo ni kufanya tathimini juu ya mradi huo ikiwa ni pamoja na kuangalia kipi kiongezwe , kipi kiboreshwe na hali halisi ya ubainishaji watoto wenye ulemavu na kutoa elimu Jumishi kwa wanajamii ili kuona hatua zipi zichukuliwa kuboresha mradi huo.

Naye Afisa Michezo Wilaya ya Misungwi Bw. Joseph Mambo kwa Niaba ya Afisa Elimu Msingi amesema Shirika la Sense Intenational wamekuwa ni wadau wakubwa ambapo Misungwi jumla shule 15 zimenufaika nao na ni matumaini makubwa kuhusu mradi huu, wakisema kuwa utawasaidia kuboresha maisha yao na kuleta maendeleo katika maeneo yao ambapo ni hatua muhimu katika kuleta maendeleo endelevu wilayani Misungwi na unatarajiwa kuwa mfano wa kuigwa katika maeneo mengine nchini.

Kwa upande wake Meneja wa program ya Shirika la Sense Intenational Bi. Isabella Do Uugt katika ziara yake ya kutembelea shule ya msingi Shilabela pamoja na shule ya msingi Mitindo ametoa pongezi kwa mapokezi mazuri na kujionea mengi kuhusu mradi na kua ahadi ya kushirikiana na wadau pamoja na Serikali .

Akitoa shukrani za pongezi Mwenyekiti  wa Sauti ya Wanawake wenye ulemavu Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bi. Agness Makambajeki amesema wanajukumu la kubainisha na kutoa elimu jumishi kwa wanajamii pamoja na kukutana na wazazi na kuwaelimisha kuwapeleka watoto wenye changamoto ya ulemavu shule. 

Ziara hiyo ya kutembelea shule za msingi na miradi iliyotekelezwa imefanyika katika maeneo ya Shule ya Msingi Mirtindo na Shule ya msingi Shilabela ambapo mashirika manne ya  Sense Intenational Tanzania, Add Intenational, Light for the World, na Tanzania Chashire Foundational yaliweza kuona shughuli zilizofanyika  wakiambatana na baadhi ya Wawakilishi wa (OPD), Kamati za Watu Wenye ulemavu, pamoja na Wataalam wa Halmashauri wanaoshiriki kwenye mradi wa Elimu Jumuishi. 

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.