• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yajipanga kikamilifu kuupokea Mwenge wa Uhuru mwaka 2024

Imewekwa : October 2nd, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yajipanga kikamilifu kuupokea Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 utakaopokelewa katika Kijiji cha Mwasonge tarehe 10 Oktoba, mwaka 2024 Wilayani Misungwi, Mkoani Mwanza.

Hayo yabainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Johari Samizi wakati akizungumza na wajumbe wa Kamati ya maandalizi ya sherehe za mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024, ameeleza kwamba Halmashauri ya Misungwi ipo tayari na imejipanga kikamilifu na kuhakikisha kwamba Mwenge wa Uhuru unapokelewa vizuri na kuhakikisha uwepo wa hamasa kubwa na Wananchi wanajitokeza kwa wingi ambapo tayari maandalizi yote yanaenda vizuri na kwa upande wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaendelea vizuri tayari kwa ajili ya kuzinduliwa, kukaguliwa na kuwekewa jiwe la msingi.

Mhe. Samizi ameongeza kuwa katika kuhamasisha maendeleo na uzalendo miongoni mwa Wananchi Hamasa ya kushiriki kikamilifu ni sehemu ya kudumisha hali ya umoja ambapo taratibu zote za mapokezi zinafanyika kwa kiwango cha juu ili kupokea Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 katika mazingira bora na yenye shamrashamra.

Kwa upande wake Mratibu wa mbio za Mwenge wa Uhuru wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Bw. Sixbert Mbwambo ameeleza kuwa Wanakamati na wadau mbalimbali wamejipanga vizuri kwa ajili ya mapokezi ya Mwenge huo ambapo maandalizi yanaendelea vizuri ikiwa ni pamoja na suala la Hamasa kwa Wananchi ili kuhakikisha Wananchi wanashiriki kuupokea Mwenge wa Uhuru kwa wingi na kuukimbiza kupitia katika miradi iliyopangwa ikiwa na kushiriki Mkesha wa Mwenge wa Uhuru katika Uwanja wa CCM Misasi.

Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 zinakimbizwa zikiwa na Kauli mbiu ya “ Tunza mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa ujenzi wa Taifa endelevu’’ na kwamba Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 zinatarajiwa kukimbizwa katika Halmashauri 8 za Mkoa wa Mwanza kuanzia tarehe 6 oktoba hadi tarehe 13, pamoja na Sherehe za kuzima Mwenge wa Uhuru Kitaifa zitafanyika tarehe 14 oktoba mwaka 2024 katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza na Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.