• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DED Misungwi awataka Watumishi na Watendaji kujituma katika kufanya kazi kwa bidii ili kuleta matokea chanya Wilayani Misungwi

Imewekwa : May 30th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ametoa wito kwa watumishi na watendaji wa vijiji na kata kushirikiana na kujituma katika kufanya kazi  ili kupata matokeo chanya  wakati wa kutekeleza Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na Serikali Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Wito huo umetolewa leo, na Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Misungwi Bw.Joseph Mafuru wakati wa ziara ya ukaguzi wa Miradi katika Kata tatu ikiwemo Kata ya Shilalo,Buhingo na Kata ya  Gulumungu ambapo alikagua miradi mbalimbali  na kuongea na Walimu wa Shule ya Sekondari Shilalo ili kujua changamoto zinazo wakabili watumishi hao, na  kuridhishwa na maendeleo ya shule hiyo.

Bw.Mafuru ameagiza shule zingine za Sekondari za Halmashauri kwenda kujifunza katika shule hiyo na kuiga mfano mzuri kwani imefanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kidato cha nne kwa kushika nafasi ya kwanza kiwilaya mara tatu mfululizo sambamba na kutoa chakula cha kutosha shuleni hapo.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji ametembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa Zahanati ya Nyashitanda,vyumba viwili vya madarasa shule ya msingi nyashitanda na matundu manne ya vyoo katika shule ya Kisesa ambapo ametoa maelekezo kwa mtendaji wa Kata kufikia tarehe 1,Julai 2024 matundu ya vyoo hivyo yawe yamekamilika na taarifa aipate ofisini kwake.

Katika hatua nyingine Bw.Mafuru ametembele na kujionea hatua ya ujenzi wa mradi wa Zahanati ya Seke,ujenzi wa shimo la  choo katika gulio la mnada wa Seke uliopo Kata ya Buhingo pamoja ujenzi wa vyumba viwili katika shule ya Mwakiteleja,ujenzi korido katika Zahanati ya Nyamainza na ujenzi wa nyumba la daktari katika Kata ya Gulumungu ambapo ameahidi kupeleka fedha kwa wakati kwa miradi ambayo haijakamilika.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Shilalo Mhe.Mayila Maguha   ametoa shukrani na pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo hususan mradi wa Zahanati ya Nyashitanda kwa wananchi wa Shilalo.

Naye Diwani wa Kata ya Buhingo Mhe.Marco Kadala amesema kuwa ujenzi wa Zahanati ya Seke upo katika hali ukamilishaji ambapo mpaka sasa umetumia fedha shilingi milioni 28 na kuwashukuru wananchi kwa kushiri katika ujenzi wa zahanati hiyo na kuiomba Serikali iongeze nguvu katika kukamilisha ujenzi, na huduma ianze kutolewa kwa wananchi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw.Joseph Mafuru wa pili upande wa kulia, akiongea na Walimu wa Shule ya  Sekondari Shilalo leo mapema wakati wa ziara yake ya kutembelea na kukagua miradi,ambapo ameridhishwa na maendeleo ya shule hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw.Joseph Mafuru akisikiliza na kupokea taarifa fupi ya mradi wa ujenzi wa Zahanati ya Nyashitanda kutoka  Diwani wa Kata ya Shilalo Mhe.Mayila Maguha leo mapema katika ziara ya kukagua miradi ambapo ameridhishwa na ujenzi wa zahanati hiyo.

Muonekano wa jengo la Zahanati ya Nyashitanda ambapo mpaka sasa iko katika hali ya ukamilishaji,pindi itakapokamilika itasaidia kuondoa adha ya umbali mrefu kwa wananchi wa Kata ka Shilalo kwenda kutafuta huduma za afya.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.