• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DED Misungwi awafunda Watumishi kufanya kazi kwa weledi

Imewekwa : August 25th, 2022

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza watakiwa kufanya kazi kwa Weledi na Unyenyekevu na kutimiza ndoto katika maisha yao.

Wito huo umetolewa leo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw. Benson Mihayo wakati akaizungumza katika kikao cha Watumishi kilichofanyika katika ukumbi wa Halamshauri hiyo.

Bw. Benson Mihayo alieleza kwamba katika utumishi wa umma ni vyema kila mmoja akatimiza wajibu wake na Watumishi wote wanapaswa kufanya kazi kwa kupendana na kusaidiana ambapo Watumishi wanatakiwa kufanya kazi kwa undugu na kushauriana katika mambo na sekta zote zikiwemo utekelezaji wa miradi pamoja na ukusanyaji wa Mapato ya Serikali.

“Binadamu aliyezoea kula nyama ya binadamu hawezi kuacha “ Alisema Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya  Wilaya ya Misungwi.

Katika kikao hicho Bw,Benson aliwataka Watumishi wote  wasaidiane na kushauriana katika kutekeleza majukumu kwa kushirikiana kwa lengo la kufanya kazi  kwa uzalendo na kutoa huduma bora kwa Wananchi.

Kaimu Mkurugenzi Mihayo alisisitiza Watumishi wote kufanya kazi kwa  Unyenyekevu na watiifu katika kazi  hivyo waondoe kiburi,kwa kufanya hivyo itwasaidia kuwajengea uwezo wa kufanya kazi kwa kujiamini kwa  kutanguliza maslahi ya watu wengine na kwa manufaa ya Taifa kwa ujumla.Sambamba na hilo alisisitiza Watumishi kujituma katika kazi na kuwa wazalendo.

Amewasihi Watumishi wajitahidi na kuongeza bidii katika utafutaji wa maisha mazuri katika Nyanja tofauti tofauti na sekta mbalimbali na kuacha tabia ya ubinafsi na kukumbatia mambo ambayo haya tija katika maisha yao na badala yake kufanya kazi kwa bidii na kutumisha ndoto za wengine.

 “Nawambia ndugu zangu tusiue ndoto za Watumishi,sisi ni familia moja lazima tuwe na mshikamano na Upendo kwa kufanya hivyo tunatembea kwa pamoja na tutaweza kuendeleze ndoto za wenzetu”.Alisema Benson Mihayo.

Kwa upande wake Kaimu Afisa Utumishi Said Ally alisema Watumishi wanatakiwa kufika kazini kwa muda uliopangwa na si vinginevyo na kufuata taratibu,kanuni na sheria za utumishi wa umma katika kutekeleza  majukumun yao ya kazi ya kila siku.Sambamba na hilo wametaka watumishi kuzingatia utoaji wa taarifa uzingatie itifaki na si kutoa kiholela ili kutoleta taharuki yeyete ambayo inaweza kujitokeza na kuleta usumbufu kwa Watumishi.

Hata hivyo Bw,Ally alihimiza Watumishi wa Halmashauri ya Misungwi  kuzingatia  suala la usafi wa mazingira kwa ujumla kwa kuweka mazingira katika hali ya usafi maeneo ya ofisi na vyooni na kutunza vifaa na samani za ofisi,na kuwakumbusha wanahakikishe takataka zote zihifadhiwe sehemu sahihi.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Misungwi Bw,Benson Mihayo akizungumuza na Watumishi katika ukumbi wa Halmashauri  katika kikao kazi mapema leo,kulia ni Kaimu Afisa Utumishi Said Ally.

Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, kushoto ni Afisa Elimu Sekondari Bi, Diana Kuboja,anayefuata ni Mkaguzi wa ndani Bw, Sindaguru Jonas na kulia ni mtunza Hazina Bw,  Joseph Mazito wakisikiliza kwa makini na kupokea maelekezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi katika kikao kazi mapema leo.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.