• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Samizi awataka wachimbaji wa madini kumiliki leseni Wilayani Misungwi

Imewekwa : June 5th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi awataka Wachimbaji wa dogo kuwa na umiliki wa leseni ya uchimbaji madini ili kujikwamua kiuchumi Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe.Johari Samizi ameyasema hayo leo tarehe 05,Juni,2024 wakati wa kusikiliza na kutatua kero kwa wananchi wa Kijiji cha Mwanangwa Kata ya Mabuki ambapo  amewataka wachimbaji hao wadogo kuwa na leseni za kuchimba madini na kufuata utaratibu pindi wanapoanza shughuli za uchimbaji wa madini ili kuondokana na migogoro isiyokuwa yalazima.

Mhe.Johari Samizi emeeleza na kufafanua kuwa Serikali inafanya kila namna kuhakikisha ina mnyanyua mwananchi wake kiuchumi na kwamba Serikali ina watambua wachimbaji wadogo hivyo imeweka mazingira rafiki kwa wachimbaji hao kwa kusogezwa karibu masoko ya kuuzia madini  ili kuepuka kutepeliwa na watu wasiokuwa na nia njema.

Aidha Bi.Samizi amesema kuwa Wananchi wanalo jukumu la kuwalinda na kuwatunza  watoto wa kike na wa kiume,kupinga ukatili dhidi yao,kutowapa mimba wanafunzi na kuhakikisha wanapelekwa shule kupata elimu kwani ni haki yao ya msingi, sambamba na hilo amewataka wananchi kuendelea kutunza mazingira kwa kupanda miti na hasa miti ya matunda ili kuendana mabadiliko ya tabianchi.

Kwa upande wake Mhandisi Mwandamizi wa madini Mkoa wa Mwanza Bw.Ndembi Tuma emetoa wito kwa wachimbaji wadogo kufuata taratibu za kisheria za kumiliki leseni za kuchimba madini na kuzihuisha leseni zao pindi zinapoisha muda wake na kuwataka wafike kwenye ofisi za madini  kulipia leseni hizo.

Naye diwani wa Kata ya Mabuki Mhe.Malele Lutoja ameishukuru Serikali kwa kupeleka fedha nyingi zaidi Bilioni 1 katika kutekeleza Miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo Afya,Elimu,Umeme na barabara kwa wananchi wa Mabuki.

Diwani wa Kata ya Mabuki Mhe.Malele Lutoja akiongea na wananchi wa kijiji cha mwanangwa mapema leo,na kuwataka wananchi hao kuendelea kuunga juhudi za Rais Dkt Samia Suluhu Hassani katika kutekeleza miradi ya maendeleo.

Wananchi wa kijiji cha Mwanangwa Kata ya Mabuki wakisikiliza na kutoa changamoto na kero kwa Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe.Johari Samizi leo mapema katika mkutano wa hadhara.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.