• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi awataka Wazazi kutoa malezi bora kwa Watoto ili kulinda mila na desturi na kukuza maadili.

Imewekwa : September 24th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Mhe. Johari Samizi, amewataka Wazazi na Walezi kuhakikisha wanatoa malezi bora kwa Watoto wao ili kulinda mila na desturi na kukuza maadili katika jamii  kwa lengo la kuzuia vitendo viovu na kuimarisha maadili mema Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Mhe. Samizi ametoa wito huo wakati wa kikao cha Hadhara kilichofanyika tarehe hivi karibuni katika Kata ya Isenengeja kikiwa na ajenda kuu ya ulinzi na usalama amesema kuna umuhimu mkubwa kushirikiana katika ulinzi na usalama baina ya Wananchi na vyombo vya ulinzi na usalama vinapaswa kuhakikisha amani na utulivu katika jamii aambapo suala la ulinzi na usalama ni jukumu la kila mmoja, hivyo Wananchi washirikiane na  Jeshi la Polisi na Viongozi wa mitaa pamoja na Sungusungu katika kutoa taarifa za uhalifu na vitendo vya kihalifu, Serikali inatambua changamoto mbalimbali zinazowakabili, ikiwemo wizi wa Mifugo na uvunjifu wa amani, na kwamba hatua madhubuti zinaendelea kuchukuliwa kukabiliana na matatizo hayo.

Kwa upande wake Katibu wa Sungusungu Kata ya Isenengeja Bw. Sitta Machama wakati akisoma Risala kwa mgeni Rasmi ameleza kuwa changamoto zinazowakabili ni uhaba na ukosefu wa maeneo ya malisho kwa Wafugaji na Wakulima katika kipindi cha kilimo ambapo mara nyingi Wafugaji wanakosa maeneo ya kuchungia mifugo yao kwa sababu ya ufinyu wa mashamba vitendo hivyo vinasababisha kero na hasara kwa pande zote, huku wakulima wakikumbwa na uharibifu wa mazao kutokana na mifugo kuingia kwenye mashamba hayo.

Naye Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi wa Polisi, ACP Lwelwe Mpina kwa niaba ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mtafungwa  amesema kuwa kazi ya vyombo vya usalama ili  kupambana na uhalifu na kuimarisha amani lakini ni muhimu kushirikiana kati ya Wafugaji na Wakulima katika kutafuta suluhu za muda mrefu, ikiwemo kuanzisha maeneo ya malisho maalum na kuboresha matumizi ya ardhi ili kukabiliana na changamoto hizo, na kutoa wito kwa Wananchi na wadau mbalimbali kuendelea kushughulikia masuala haya kwa ukamilifu.

Wilaya ya Misungwi inaendelea na kuhamasisha Wananchi kushiriki katika mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 zinazotarajiwa kukimbizwa katika Halmashauri 8 za Mkoa wa Mwanza kuanzia tarehe 6 oktoba na kuhitimishwa oktoba 14 Jijini Mwanza katika Uwanja wa CCM Kirumba ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni  “ Tunza mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa ujenzi wa Taifa endelevu ”. ambapo baadhi ya maeneo ya Vikundi vya sanaa pamoja na Jeshi la Sungusungu wanajinoa kwa ajili ya hamasa ya sherehe za Mwenge na ushiriki wa Wananchi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024.




Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.