• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi awataka Watendaji kutoa Elimu na kuhamasisha usafi na Ujenzi wa vyoo bora Vijijini

Imewekwa : July 17th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Johari Samizi amewaagiza Watendaji na Maafisa  Afya kusimamia kikamilifu usafi wa mazingira kwa ubunifu na kutoa elimu pamoja na kuhamasisha Wananchi kujenga vyoo bora Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Mhe. Johari Samizi ametoa agizo hilo tarehe 15/07/2024 wakati wa kikao cha Tathmini ya hali ya usafi wa mazingira katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ambapo amewataka Watendaji wa Kata na Maafisa Afya kuhamasisha na kutoa elimu kwa Wananchi kwenye Kaya zao kujenga vyoo na kuvitumia kikamilifu na kufanya kazi kwa ubunifu kwa kuwashauri Wananchi kupitia  kwenye Kaya mbili au tatu washirikiane kutoa fedha za Saruji kwa ajili ya kujenga au kuboresha boma la choo bora kwa kutumia ramani halisi ya choo bora kulingana na vipimo na kuwasihi waendelee kutoa elimu kwa Wananchi kushirikiana kujenga vyoo pamoja na kuendelea kuhubiri suala la usafi wa mazingira katika familia na maeneo ya umma.

“ Kwa nini tuzalishe taka halafu hatujui tunazipeleka wapi, taka zinazalishwa lakini hamna dampo kuna faida gani, hivyo Wataaalam wajifunze kupitia maeneo mengine kama Njombe na  Makete ambapo watu ni wasafi mpaka ngazi ya familia ni kwamba Wataalam waliamua kulibeba jambo likawa ni la kwao, wakaliimba, wakalihubiri , na Wananchi wakalipokea kwa mapenzi na mikono miwili wakalitekeleza,s sijui inaeleweka vizuri , ebu tufanye, Wananchi hawa ni wasikivu na waelevu kwa sababu kazi ya usafi ni ya kila siku si jambo la kukumbushana, lakini ukifuatilia sana kwenye maeneo yetu maeneo ya umma ndo machafu zaidi kuliko hata maeneo ya watu wanapoishi”. Alizungumza kwa msisitizo Mhe. Johari Samizi.

Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe, Johari Samizi amehimiza Wataalam na Watendaji  kusimamia  vikundi vya wafanya usafi wasimaamie kwa bidii ili usafi ufanyike ipasavyo na kufanya mazingira yote yawe safi na salama.

Naye Afisa Afya wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bi. Ivona Mabala ambaye ni Mratibu wa mradi wa Wash anayeshughulika na masuala ya Usafi na Mazingira  katika Halmashauri ya Misungwi amewasisitiza Watendaji na Maafisa Afya kuendelea kupambana kuhamasisha Kaya zote kujenga vyoo na kuvitumia na kupitia mradi huu ambao unasaidia kuwezesha zoezi na mpaka sasa wameshafikia Vituo 40 kati ya 60 na tayari kupitia fedha walizovuna imewasaidia kuagiza gari ya shilingi Milioni 127 kwa ajili ya usimamizi wa mradi huu wa Wash ili kuendelea kuboresha usafi wa mazingira kwa Wananachi.

Bi. Ivona Mabala ameeleza kuwa Wananchi wote wa Wilaya ya Misungwi wanatakiwa kujenga na kuboresha vyoo na kuwa na vyoo bora na vya  kisasa kupitia kila Kaya pamoja na  kutunza mazingira yao kwa kufanya usafi wa mara kwa mara kwenye familia zao na maeneo ya biashara, taasisi za umma   pia kwenye ofisi za Kata, Vijiji, na kuwaomba Watendaji na Maafisa Afya kwa kila mmoja kuhamasisha Wananchi kuhusu utunzaji wa mazingira katika maeneo yao ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kila Kaya inakuwa na choo bora na kuvitumia kwa usahihi.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw. Christopher Legonda amewataka Watendaji wa Kata na Maafisa Afya kubadilika na kufanya kazi na kuacha tabia ya kufanya kazi kwa mazoea,kila mmoja afanye kazi kwa kipande chake alichopangiwa na kutokuwa wababaishaji na kuhakikisha kwamba usafi wa mazingira unafanyika kila siku na sio mara moja ya mwisho wa mwezi kama ilivyokua awali.

Bw. Legonda amesisitiza Watendaji hao kutimiza majukumu yao ipasavyo na kuwaonya baadhi ya Watendaji na Wataalam ambao hawakai katika Vituo vya kazi muda wote vitendo ambavyo vinapunguza uwajibikaji kwa mtumishi na kusababisha kuzorotesha juhudi za kuwapatia Wananchi maendeleo na kutotimiza malengo yaliyowekwa na Serikali kupitia sekta mbalimbali.




Picha za Viongozi na Watendaji wakati wakijadili kuhusu hali ya Utekelezaji wa mradi wa Wash katika usimamizi wa masuala ya ujenzi wa vyoo na Usafi wa mazingira

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.