• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi awataka Watendaji kutekeleza na kusimamia miradi kikamilifu kwa kuzingatia sheria, kanuni, na taratibu na kukamilisha miradi kwa wakati

Imewekwa : November 13th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Mhe. Johari Samizi, amewataka Watendaji  kutekeleza na kusimamia miradi kikamilifu kwa kuzingatia sheria, kanuni, na taratibu na kukamilisha miradi kwa wakati  Wilayani Misungwi.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Johari Samizi ameyabainisha hayo Novemba 13, 2024 katika ziara yake ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo ya sekta ya Elimu pamoja na Sekta ya Maendeleo ya jamii na Ufundi ambapo katika shule ya Sekondari Misungwi amekagua maendeleo ya ujenzi wa mabweni 2 ya Wasichana yenye thamani ya shilingi 281 pamoja na ujenzi wa shule ya Amali katika Kata ya Mabuki Kijiji cha Mhungwe itakayogharimu shilingi Bilioni 1.6 hadi kukamilika na maendeleo ya miradi hii iliyopo katika hatua za awali za msingi.

Mhe. Samizi ametembelea katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii na Ufundi (CDTTI) Misungwi na kupata taarifa za maendeleo ya ujenzi wa Jengo la ghorofa 4 la Hosteli ambalo linajengwa na Serikali kwa gharama ya shilingi Bilioni 2.7 na tayari  limejengwa hatua  ya awamu ya kwanza ya msingi kwa fedha shilingi Milioni 300 na kuishukuru Serikali kwa kuendelea kutoa fedha za ujenzi wa miradi mbalimbali katika Wilaya ya Misungwi, Watendaji kuendelea kusimamia kikamilifu na kuongeza juhudi za ufuatiliaji wa miradi ili kuhakikisha Wananchi wanapata huduma bora na kwamba miradi inatekelezwa kwa viwango vinavyotakiwa na kuwahamasisha Wananchi kuanzisha miradi ya kimaendeleo, kama vile kilimo, ufugaji na biashara ndogo ndogo, ambazo zinaweza kuwasaidia kujipatia kipato kupitia mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali kupitia Halmashauri.

“ ni muhimu kwa Watendaji wote kufuata na kuzingatia sheria, na miongozo iliyopo ili kuepusha matatizo yanayoweza kujitokeza ambapo  kila mradi unapaswa kuwa na malengo yanayoweza kupimika, na kwamba ni wajibu wa kila Mtumishi kuhakikisha kuwa miradi inatekelezwa kwa ufanisi na kukamilika  kwa wakati”. Alisisitiza Mhe. Johari Samizi.

Mhe. Samizi pia alitoa wito kwa Wananchi kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa ili kuhakikisha kuwa wanatambua haki zao za msingi na kuchagua kiongozi wanayemtaka ili kuchochea maendeleo na Uchaguzi wa Serikali za mitaa utafanyika Novemba 27, 2024, hivyo Wananchi wote waliojiandikisha kujitokeza kupiga kura na kuwachagua Viongozi wanaowataka kwa ajili ya kuleta maendeleo.

Naye Kamanda wa TAKUKURU Wilaya ya Misungwi Bi. Elly Makala amewasihi Viongozi na Watendaji kufanya kazi wa uadilifu na kuhakikisha wanazingatia taratibu, kanuni na sheria za shughuli za ujenzi kwa kufuata sheria za manunuzi na kufuatilia ujenzi wa miradi hiyo hatua kwa hatua hadi kukamilika ili kujenga kwa ubora na Viwango.           

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.