• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi awataka Wananchi kuulinda na Kudumisha Muungano Adimu na Adhimu Wilayani Misungwi

Imewekwa : April 26th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Johari Samizi awataka Watumishi na Wananchi kudumisha na kuendelea kuuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo leo 26.04.2024 wakati akiongea kwenye mdahalo na Wanafunzi wa sekondari na wanachuo  pamoja na watumishi katika ukumbi wa chuo cha Maendeleo ya Jamii Misungwi wakati wa kuhitimisha kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo ametoa wito kwa wananchi kuendelea kudumisha na kuenzi Muungano wa Tanzania.

Mhe.Johari Samizi amefafanua kueleza kwamba tunapoadhimisha miaka 60 ya Muungano wetu, Watanzania wote tuna kila sababu ya kutafakari na kutathmini masuala muhimu yaliyokusudiwa na Waasisi wa Taifa letu ambao walitia saini Hati ya makubaliano ya Muungano kwa niaba ya wananchi wa nchi hizo mbili. Pamoja na Waasisi wetu kutangulia mbele ya haki, misingi waliyotuachia imeendelea kuimarisha umoja, amani, na utulivu wa Taifa letu.

Aidha Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Misungwi ameongeza kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umejengeka kutokana na historia ya uhusiano wa udugu wa damu, harakati za pamoja na ushirikiano wa vyama vya ukombozi vya Tanganyika na Zanzibar katika kupigania uhuru.

Mhe.Samizi amesisitiza kuwa uchumi umeimarika kutokana na mazingira na mahusiano mazuri ya kibiashara kati ya Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar.

“Tumeshuhudia kuimarika kwa miundombinu, hususan ya barabara na huduma za jamii ikiwamo afya, maji na elimu”.Alisema Mkuu wa Wilaya.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya amewataka wananchi kuthamini juhudi za Waasisi wa Muungano wetu na mafanikio yaliyopatikana kutokana na Muungano, kwa pamoja kuendelea kuuenzi, kuulinda na kuudumisha Muungano wetu Adimu na Adhimu.

 Wanafunzi wa chuo cha Maendeleo ya jamii Misungwi wakifuatilia kwa ukaribu mdahalo wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya Muungano wa miaka 60 ya Tanganyika na Zanzibar  Aprili,26,2024 katika ukumbi wa chuo hicho,ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Johari Samizi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DAS Misungwi awapongeza Watendaji Halmashauri kwa kushirikiana na Madiwani katika kuongeza ufanisi na ukusanyaji wa Mapato.

    April 29, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yafanya ziara ya yatembelea na kupata mafunzo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya nyang'hwale Mkoani Geita

    April 25, 2025
  • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango yaridhishwa na miradi ya maendeleo ya Halmashauri Wilaya ya Misungwi

    April 23, 2025
  • Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yawataka Watendaji wa Kata na Vijiji kutoa Elimu ya Shughuli za Lishe kwa Wananchi.

    February 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.