• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi awataka Wakulima kuzingatia kanuni bora za Kilimo cha Zao la Pamba ili kuongeza tija katika Uzalishaji

Imewekwa : November 4th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Johari Samizi awataka Wakulima kuzingatia kanuni bora za Kilimo cha Zao la Pamba ili kuongeza tija katika Uzalishaji Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Akizungumza katika Viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Misungwi katika Hafla fupi ya makabidhiano ya Baiskeli tarehe 4 Novemba 2024, Mkuu wa Wilaya ya Msungwi Mhe. Johari Samizi amesema kuwa bodi ya Pamba imewaamini na kutoa Baskeli hizo kwa lengo la kuzitumia ili kuimarisha kilimo cha zao la pamba.

Mhe. Johari Samizi amesema na kuwaelekeza Wakulima hao kuvilinda na kuvitumia vizuri vyombo vya Usafiri wa Baiskeli kwa matumizi yaliyokusudiwa ili waweze kuwapa manufaa ya kiuchumi na kuinua kipato chao pamoja na kuhakikisha Wakulima wote wanapatiwa elimuna kuhamsishwa namana ya kulima Kilimo cha Pamba kwa kuzingatia kanuni 10 bora za Kilimo cha zao la Pamba kwa lengo la kuongeza tija nkatika uzalishaji wa Pamba nchini na kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla.

“Mkatumie vyombo hivi kuwaelimisha Wakulima kwa kuzingatia kanuni kumi za upandaji na uvunaji wa zao la pamba , tukatumie vyombo hivi ili kupata tija , kipato cha kutosha kwa wakulima na Halmashauri itapata mapato ya ndani kupitia malighafi hiyo ” Alisisitiza Mhe. Johari Samizi.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Bw. Addo Missama, amesema kuwa wakati wa makabidhiano hayo, ni muhimu kwa wakulima kuzingatia matumizi sahihi ya Baiseki hizo ili kupata matokeo bora ambapo halmashauri itaendelea kuimarisha njia bora za kuwanuifaisha Wakulima wa zao la pamba ikiwa ni pamoja na kutoa vifaa hivyo ili kuhakikisha wakulima wanapata faida kubwa.

Akiwasilisha taarifa ya makabidhiano ya Baiseki hizo, Mkaguzi wa Pamba Wilaya ya Misungwi, Bw. Lazaro Mashauri amesema umuhimu wa vifaa hivyo kwa Wakulima hao  kuboresha uzalishaji wa pamba katika eneo hilo ambapo Baiseki hizo zitasaidia wakulima kuongeza tija na ubora wa mazao yao, hivyo kuchangia katika maendeleo ya kiuchumi ya jamii.

Naye, Diwani wa Kata ya Kijima Mhe. Ezekieli Kanzaga amesema kuwa  makabidhiano hayo ni fursa pekee na hatua muhimu katika kusaidia Wakulima wa pamba katika Kata hiyo ambapo ushirikiano kati ya Serikali na Wakulima ni muhimu ili kufanikisha malengo ya kilimo endelevu cha zao la pamba.

Wakulima wawezeshaji kutoka Kata ya Kijima Bi. Leticia Gwancha na kata ya Idetemya Bw. Dominiko Elias wameeleza furaha yao na shukrani za dhati kwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia baiskeli kupitia Bodi ya Pamba ambapo Baiskeli hizo zitawasaidia kuboresha usafiri wao wakati wa shughuli za kilimo, hivyo kuongeza uzalishaji na tija katika mazao yao ya pamb pia  baiskeli hizo zitawasaidia kufikia masoko kwa urahisi zaidi, na hivyo kuongeza kipato chao na kuboresha maisha yao na familia zao.



Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.