• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

Imewekwa : May 21st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Johari Samizi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kutoka Shule za msingi 16 za Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Mkoani Mwanza..

Akizungumza  Tarehe 21 Mei, 2025 katika Viwanja vya Shule ya msingi Mitindo katika hafla ya makabidhiano ya Vifaa saidizi ,amesema kwamba amefurahishwa sana na Shirika la Sense International linalofanya kazi Wilayani Misungwi na Wilaya ya Shinyanga Vijijini kupitia mradi wa Elimu Jumuishi (TO51) ambalo limetoa vifaa saidizi kwa Watoto wenye mahitaji maalumu na vitawasaidia kufika shuleni ili kufanikisha ujifunzaji  pamoja na Jezi na Mipira kwa Wanafunzi wanaosoma katika Shule 16 zinazotekeleza mradi huo na kuwapongeza kwa juhudi za kuanzisha Vikundi vya Wazazi wa Watoto wenye ulemavu kwa ajili ya kuwakopesha kupitia vikundi na tayari Vikundi 13 vimeshapatiwa mtaji wa shilingi Milioni 6,500,000/= kutoka Halmashauri ili kuweza kuwainua kiuchumi na kuwaongezea kipato cha familia.  

Mhe. Samizi amesema na kuwaelekeza Watoto na Wazazi hao kuvitunza, kuvilinda na kuvitumia vizuri vifaa saidizi hivyo ili viwawezeshe kuboresha na kuimarisha taaluma na hatimaye kuongeza ufaulu kwa Watoto hao wenye mahitaji maalum na kuwapa manufaa kupitia sekta ya elimu na kukuza uchumi  katika familia na kutoa wito kwa jamii kutowaficha Watoto wenye ulemavu hivyo, wawapeleke shule ili waweze kupata elimu.

Akiwasilisha taarifa ya mradi wa Elimu Jumuishi Mratibu wa Mradi huo kuptia Shirika la Sense Intenational Bw. Gerald Tuppa amesema kuwa mradi huo umeanza kazi mwaka 2022 katika Shule 16 zilizopo katika Kata 3 za Mwaniko, Mabuki na Misungwi na tayari umefanikiwa kutoa mafunzo kwa Walimu wa Elimu jumuishi ya namna ya kuwabaini Watoto na tayari wamebaini Watoto wenye mahitaji maalum 1,000 kutoka Wilaya za Shinyanga vijijini  na Misungwi katika Mikoa miwili iliyopo kwenye Mradi, sambamba na ugawaji wa Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Watoto wenye ulemavu kwenye Shule hizo 16 Wilayani Misungwi. 

Kwa upande wake Afisa Elimu Maalum Wilaya ya Misungwi Bw. Charles Pamba amewashukuru Shirika la Sense International kwa utayari wao wa kusaidia kupitia Mradi huo wa elimu Jumuishi  na vifaa saidizi hivyo vitasaidia watoto hao kumudu masomo kikamilifu na kuiomba jamii kuendelea kuwatoa watoto wenye ulemavu ili wasome na kupata elimu kwa manufaa yao na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.