• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi ahimiza Wazazi kupeleka Watoto Sekondari 2025 pamoja na kulima Mazao yatakayostahimili ukame.

Imewekwa : November 7th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Mhe. Johari Samizi, ametoa wito kwa Wazazi na walezi kuhakikisha wanawapeleka Watoto Shule kwa ajili ya kujiunga na Kidato cha kwanza mwaka 2024 na kutoa malezi bora kwa Watoto hao ili kulinda mila na desturi za jamii, pamoja na kukuza maadili mema nchini.

Ameyasema hayo tarehe 7 Novemba 2024 katika ziara yake ya kukagua, kusikiliza na kutatua kero za Wananchi ambapo katika kikao na wananchi wa Kata ya Mondo,  Mhe. Samizi ameeleza kuwa malezi bora ni msingi wa kuzuia vitendo viovu vinavyoweza kuathiri maendeleo ya watoto na jamii kwa ujumla ambapo  Wazazi wanapaswa kuwa mfano mzuri kwa watoto wao, kwa kuwafundisha maadili na tabia njema ambazo zitawasaidiA kuwa raia wema na wenye mchango chanya katika jamii pasipo kufuata vitendo vya  ukatili wa kijinsia kama vile kuwaozesha wakati bado wanasoma.

Mhe. Samizi ameongeza kuwa jamii ina jukumu kubwa katika malezi ya watoto, na hivyo ni muhimu kwa wazazi na walezi kushirikiana na viongozi wa jamii katika kuhakikisha watoto wanapata malezi bora ambapo jamii kuimarisha ushirikiano katika kutokomeza vitendo vya ukatili kijinsia unyanyasaji na uhalifu, ili kuweza kujenga mazingira salama kwa watoto, sambamba ha hilo amewataka Wananchi Wilayani humo kutumia mvua hizi zinazonyesha kulima mazao yanayostahimili ukame kutokana na mwenendo wa mvua kwa mwaka 2024 pamoja na kujiandaa kikamilifu kushiriki katika Uchaguzi wa Viongozi wa Serikali za mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024 na kutumia haki ya kikatiba ya kuchagua mtu wanayemtaka katika eneo lao.

Katika hatua nyingine Mhe. Samizi amekagua nyumba ya Mtumishi ambayo ipo katika hatua ya ujenzi wa msingi  pamoja na ukamilishaji wa Jengo la Zahanati ya Kijiji cha Mondo na kumtaka Mtendaji wa Kata kuhakikisha anasimamia ipasavyo utekelezaji wa ujenzi huo kwa kuzingatia taratibu, kanuni na sheria za manunuzi na kwamba Fundi ujenzi aweze kukamilisha Jengo la Nyumba ya Mtumishi kwa muda uliopangwa wa siku 60 ili Wananchi wapate huduma bora za afya. 

Naye Mtendaji wa Kata ya Mondo Bi. Byasi Kasuguli wakati akiwasilisha taarifa ya ujenzi wa nyumba ya Mtumishi  amesema kuwa shilingi Milioni 92.6 zimetolewa kupitia mpango wa TASAF kwa ajili ya ujenzi huo ambao ulianza tarehe 16 Oktoba 2024 kwa kushikisha nguvu na mchango ya jamiii pia aliahidi kutekeleza na kusimamia mradi wa ujenzi huo kikamilifu  ili Wananchi waweze kunufaika na huduma hi

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.