• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi ahamasisha Wakulima kuzitumia mvua kulima mazao ya Chakula na Biashara kwa wakati

Imewekwa : December 20th, 2019

Wananchi  Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza washauriwa kuzitumia kikamilifu mvua zinazoendelea kunyesha kwa kulima mazao ya chakula na biashara ili kuweza kupata mavuno ya kutosha kwa msimu huu.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Juma Sweda, alipowatembelea baadhi ya Wakulima wa Kijiji cha Nguge Kata ya Mwaniko  wakiwemo Wnakikundi cha Jikomboe kwa ajili ya kuhamasisha Wananchi kulima kwa kuzingatia kanuni kumi za Kilimo bora cha pamba..

Juma Sweda amewashauri Wakulima wote Wilayani Misungwi kuzitumia vyema mvua hizi za Vuli kwa kulima mazao ya chakula na biashara ambayo ni Mtama, Mahindi, Viazi, Mpunga, Choroko pamoja na Dengu na Pamba na kuwaomba walime mazao kwa wingi ili yaweze kusaidia kwa Chakula na fedha za matumizi mbalimbali ya familia.

Baadhi ya Wanakikundi cha Jikomboe cha Kijiji cha Nguge wakiendelea na kazi ya Kilimo wakipanda mbegu za pamba kwa mstari kwenye shamba lao la hekari 3 na walitembelewa na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi pamoja na Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ili kuona na kukagua shughuli za kilimo.

Mkuu wa Wilaya huyo pia amepiga marufuku na kukemea Vitendo vya baadhi ya Wananchi kucheza bao na michezo mingine ya Bahati nasibu wakati wa kazi na kilimo  na kuonya kwamba atahakikisha watakaojihusisha na michezo hiyo sheria zitachukuliwa dhidi yake pamoja na kupewa kazi ya kufanya mashambani.

Kwa upande wake Afisa Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Majid Kabyemela awali alisema kuwa katika Wilaya ya Misungwi katika msimu huu  inatarajia kulima hekta 15,040 za kilimo cha zao la Pamba, ambapo tayari Maafisa ugani wameshatoa elimu na hamasa kwa Wakulima ya kulima kwa kuzingatia kanuni10 za kilimo bora cha pamba ikiwa ni pamoja na kupanda kwa mstari, matumizi ya mbolea ya samadi na virutubisho, kupunguza miche shambani, kupanda mapema, kunyunyuzia dawa kuzuia wadudu, na kuvuna mapema na kuchambua pamba vizuri.

Afisa Kilimo na ushirika huyo alieleza kwamba maandalizi ya msimu huu yamekamilika na mbegu za pamba aina ya UK 08  ziligawiwa kwa Wakulima mapema na wengi wao wamehapanda kwa wakati na Wataalam wa Kilimo wanaendelea na zoezi la kufuatailia na kuwashauri Wakulima hao.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Juma Sweda (aliyeinama chini kulia) akipanda mbegu za pamba katika shamba la hekari 3 la Kikundi cha Jikomboe Kijiji cha Nguge ( kushoto) ni Katibu Tawala Wilaya ya Misungwi Petro Sabatto wakionyesha mfano wa kilimo bora cha pamba kwa kupanda kwa mstari.


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.