• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi aagiza Miradi ya Maendeleo kukamilika kwa wakati Misungwi

Imewekwa : March 1st, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Mhe, Paul Chacha akagua Miradi ya Maendeleo na kuhimiza kukamilika kwa wakati Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe, Paul Chacha katika ziara yake ya kukagua na kupokea taarifa ya maendeleo ya miradi mbalimbali  February 26,2023 ukiwemo Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya uliopo kata ya Nhundulu,mradi wa Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa ya Awali na choo matundu 6 katika Shule ya msingi Mwawile,Mradi wa barabara ya changarawe km 7 Mawemabi Kata ya Mwagiligili,Mradi wa Maji kata ya Mbarika,Mradi wa Umeme Vijini REA ,Mradi wa Ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya wasichana Mwanangwa na Uendelezaji wa Ujenzi wa Hospitali ya wilaya ya Misungwi ambapo ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kwa  kufanya kazi kwa ushirikiano na kwa kujituma na hivyo kuwaletea Wananchi maendeleo.

Amesema hayo  wakati akiwa kwenye ziara ya kukugua miradi mbalimbali ya maendeleo ambapo ameagiza kufanyike kwa marekebisho katika milango katika Kituo cha Afya Mwawile na kuharakisha kuwekwa kwa huduma Umeme kwa wakati katika kituo hicho.Hata hivyo wakati wa ziara hiyo pia ametoa maelekezo kuhusu kufanyiwa kwa marekebisho ya baadhi ya  viti vya kukalia wanafunzi wa Awali ili kuondoa usumbufu wakati wa kujifunza.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Misungwi,Mhe,Petro Sabato amewataka watalaam kutumia nafasi walizo nazo kwa uaminifu mkubwa ,kujituma na kufanya kazi kwa bidii na kwa ushirikiano ili kuwapa wananchi huduma bora na stahiki ili kutimiza dhima ya Serikali ya awamu ya sita kwa maendeleo  ya wananchi na Taifa kwa ujumla.

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Bw, Clement Morabu amesema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ilipokea fedha shilingi 500,000,000 /=kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kwa awamu ya kwanza ikiwa maelekezo ya Serikali kwa kujenga majengo mawili (OPD na Maabara) Mwaka wa fedha 2020/2021ilipokea fedha shilingi Bilioni moja fedha hizo zilitumika kujenga majengo 5 Jengo la Utawala,Dawa,Mionzi,kufulia na Jengo la Mama na mtoto.

Vilivile Dkt Morabu aliongeza kuwa mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri ilipokea fedha shilingi 800,000,000/= kwa ajili ya kujenga Wodi ya wanaume upasuaji,Wodi ya wanawake upasuaji na jengo la kuhifadhia maiti( Mortuary), 2022/2023 ilipokea shilingi 750,000,000/=kwa ajili ya kujenga Wodi ya watoto,Wodi ya magonjwa ya ndani wanawake na Wodi ya magonjwa ya ndani wanaume na Mortuary.

Naye Injinia wa Maji Bw.Marwa Kisibo ambaye ni Meneja wa RUWASA Wilaya ya Misungwi alieleza kwamba Mradi wa maji Mbarika Misasi ulianza kutekelezwa mwaka 2014/15 na kusafiwa Mwaka 2012 kwa lengo la kuwahudumia watu 41,591 katika Vijiji vya Lutaletale,Bugisha,Ngaya ,Ikula ,Sumbugu,Matale,Kasolol,Nduha ,Isuka,Manawa na Misasi.Hata hivyo alifafanua kuwa shughuli kuu zilizopangwa na kufanyika katika mradi huo ni kujenga njia kuuya kusafirisha maji mita 11,235( km 11.235),kujenga mtandao wa kusambaza maji mita 5864 ( km 5.864) na kujenga mtenki 2 yenye mita ya ujazo 45 katika Vijiji vya Mbarika, Lutalutale na Bugisha, ambapo watu 15,042 watanufaika kwa kupata maji safi na salama.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Paulo Chacha wa kwanza kulia akimbatana Viongozi mbalimbali na Wataalam wakati wa ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo kituo cha Afya Mwawile February 26,2023.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Paulo Chacha akikagua madawati katika Shule ya Msingi Mwawile juzi wakati wa ziara yake,ambapo alitoa maelekezo ya kurekebishwa kwa baadhi ya madawati ambayo yalikuwa na dosari.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe, Paulo Chacha akimpa mkono Mkazi mmoja  wa Kijiji cha Igongwa ambapo alimwahidi kumlipia gharama zote ya kuingiza Umeme katika nyumba yake pamoja na familia yake wakati akikagua Mradi wa uunganishaji wa umeme Vijijini REA katika kijiji cha Igongwa.

Matangazo

  • TANGAZO,KIKAO CHA MADIWANI KWA ROBO YA PILI 2022/2023 February 10, 2023
  • TANGAZO LA MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI -MISUNGWI DC 2022 July 26, 2022
  • TANGAZO USAILI WAKUSANYA MAPATO HALMASHAURI MISUNGWI 2022/2023 August 01, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI HALMASHAURI YA MISUNGWI June 11, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • RC Malima atoa Kongole Wananchi Misungwi kujenga Kituo cha Afya kwa Mapato ya ndani

    March 05, 2023
  • DC Misungwi aagiza Miradi ya Maendeleo kukamilika kwa wakati Misungwi

    March 01, 2023
  • Baraza la Madiwani Misungwi lapitisha Bajeti Bilioni 54.6 mwaka wa fedha 2023/2024

    February 22, 2023
  • DC Matiko Paulo Chacha akabidhiwa Ofisi na Mkuu wa Wilaya Iringa Veronika Kessy

    February 08, 2023
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0768867886

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.