• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi achukizwa kwa Kusuasua kwa Miradi ya Ujenzi wa Barabara Wilayani Misungwi

Imewekwa : September 29th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi  Mhe, Paulo Chacha aagiza TAKUKURU Wilaya ya Misungwi kuchunguza miradi 4 ya ujenzi wa barabara iliyobainika kujengwa chini ya kiwango  Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Agizo hilo lilitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe, Paulo Chacha katika ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa barabara ya Nyashishi hadi Fella yenye urefu wa kilomita 8 inayojengwa na Mkandarasi Lukambo Contractors Co. LTD ya Bunda ambapo ujenzi wake unaendelea kwa kusuasua wakati Wakala wa barabara mjini na Vijijini Wilayani Misungwi wameonyesha kushindwa kusimamia kikamilifu na kusababisha malalamiko kwa Wananchi na jamii inayotumia barabara hiyo.

Mhe, Chacha ameelekeza na kusisitiza Meneja wa TARURA Wilaya ya Misungwi kusimamia kikamilifu ujenzi wa mradi huo na kuhakikisha wananchi  hawakwami wakati wa kutumia barabara hiyo hususan kipindi cha msimu huu wa mvua na kuagiza Kamanda wa TAKUKURU Wilaya ya Misungwi,  kuchunguza miradi hiyo  kwa kuwapekua wote Meneja wa TARURA atoe nyaraka zote  alizoficha na kumhoji Mhandisi aitwae Hosea aliyetajwa kupewa fedha Tsh, Milioni 15 kutoka kwa Mkandarasi ili kuziba midomo ya Wananchi kufuatilia na kujiridhisha na ujenzi huo na  kubaini mapungufu ya ujenzi wa barabara hizo na kutoa mapendekezo kwa mamlaka husika kuhusu Mwenendo wa Mkandarasi huyu ambaye anapewa kujenga barabara nyingi wakati huo hazitekelezi kwa wakati.

Kwa upande wake Katibu Tawala Wilaya ya Misungwi Bw. Abdi Makange amewakumbusha Watumishi wa umma kufanya kazi kwa kuzingatia kanuni, sheriana taratibu pia kutumia vyema Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati akihutubia Bunge mwaka 2021 na kuwaasa Watumishi kufanya kazi kwa weledi na ubunifu  

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilayaya Misungwi Mhe. Kashinje Machibya ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Usagara ameeleza namna ambavyo miradi inavyosussua ikiwemo ya ukarabati wa barabara ambayo imekua ikileta adha kwa wananchi na kusema kuwa hakuna kiasi fedha kitakachopotea kwa mradi wowote utakaokua na kasoro hivyo hatua zimeshachukuliwa kama alivyo agiza Mkuu Wa Wilaya ya Misungwi  

Baadhi ya Wananchi na Wakazi wa maeneo hayo wamesema na kukemea vitendo vya Baadhi ya watumishi kutenda kinyume na maadili yao na kuwataka wazingatie na kufuata maelekezo ya serikali ili kutimiza majukumu yao hivyo kupitia elimu ndio njia ya kuimarisha maendeleo na sio kinyume.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Paulo Chacha akikagua Mradi wa Ujenzi wa  barabara ya Nyashishi hadi Fella Wilayani Misungwi yenye urefu wa km 8 ambapo alimbatana Viongozi mbalimbali wa ngazi ya Wilaya hivi karibuni.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe ,Paulo kushoto,katikati ni Mwenyeki wa Halmashauri ya Misungwi Mhe,Kashinje Machibya na upande wa kulia ni Katibu Tawala Wilaya ya Misungwi Bw,Abdi Makange wakiwa katika ziara ya kutembelea na kukagua Miradi ya Ujenzi wa Barabara Nyashishi hadi Fella 27,Septemba,2023.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Paulo Chacha akipima upana na kimo wa mtaro wa maji katika barabara ya Nyashishi hadi Fella yenye urefu wa km 8 hivi karibuni ambapo alitoa maelekezo kukamilika kwa wakati kwa mradi wa ujenzi huo.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DAS Misungwi awapongeza Watendaji Halmashauri kwa kushirikiana na Madiwani katika kuongeza ufanisi na ukusanyaji wa Mapato.

    April 29, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yafanya ziara ya yatembelea na kupata mafunzo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya nyang'hwale Mkoani Geita

    April 25, 2025
  • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango yaridhishwa na miradi ya maendeleo ya Halmashauri Wilaya ya Misungwi

    April 23, 2025
  • Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yawataka Watendaji wa Kata na Vijiji kutoa Elimu ya Shughuli za Lishe kwa Wananchi.

    February 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.