• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi aagiza Mkataba wa Uchimbaji wa Madini ya Dhahabu wa Kikundi kupitiwa upya

Imewekwa : October 25th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi,Mhe,Juma Sweda atatua Mgogoro wa Wachimbaji wa Madini na kuagiza kupitiwa upya kwa Mkataba wa Uchimbaji Madini baina ya Kikundi cha Nyabayombe na Ushirika  pamoja na Kampuni ya Seif Mahumbi kwenye Mgodi wa Madini ya Dhahabu wa Kijiji cha Lubili Wilayani Misungwi,Mkoani Mwanza.

Akizungumza na baadhi ya Viongozi na Wachimbaji wadogo wadogo katika Mkutano  uliofanyika katika maeneo ya Machimbo ya Nyabayombe, Mkuu wa Wilaya ya Misungwi,Mhe,Juma Sweda amewataka Wachimbaji ambao ni Wanakikundi cha Nyabayombe na Wanaushirika kushirikiana na kufanya mapitio upya  ya Mkataba wa shughuli za uchimbaji walioingia na Mwekezaji wa Kampuni ya Seif Mahumbi na kuweka vizuri makubaliano ili uweze kunufaisha upande wote kutokana na mapato yatokanayo na Madini ya Dhahabu.

Mhe,Juma Sweda amewataka pia Viongozi wa Ushirika na Kikundi cha Nyabayombe kufanya kazi na kuwajibika ipasavyo kwa Wanachama na kutetea maslahi yao na kuachana na mambo ya kurubuniwa na kudaganywa na Watu wengine wasiowatakia mafanikio mema na hatimaye kuwapotosha na kuwaomba Wanaushirika na  Wanakikundi  kuendelea kuheshimu Viongozi waliopo madarakani na kuwapa ushirikiano wa kutosha.

Alisema na kusisitiza kwamba,eneo hilo la uchimbaji litabaki na Wamiliki wenye Leseni 16 za Wachimbaji  wadogo wadogo kupitia Kikundi cha Nyabayombe ambao ndio Wamiliki wa Mgodi huo na kupiga marufuku Kikundi cha MIMICOSO kutojihusisha na shughuli za Uchimbaji katika Wilaya ya Misungwi kutokana na kutosajiriwa na kutumika vibaya  Kinyume na Kanuni na taratibu.

Naye, Mwenyekiti wa Ushirika Bi,Magreth Sayi alisema kwamba wanakikundi waliamua kutafuta Mwekezaji na kumpata Bw,Seif Mahumbi ambaye waliingia naye Mkataba wa malipo ya asilimia 30 kwa 70 na kukubaliana kulipia Leseni ya Uchimbaji baada kumaliza muda wake ambapo Uongozi wa Wanaushirika na hauna ushirikiano na mahusiano mazuri na Uongozi wa Kikundi cha MIMICOSO ambacho kilianza kutafuta Mwekezaji mwingine tofauti na Bw,Seif Mahumbi bila ridhaa ya Wanakikundi na Wanaushirika wa Nyabayombe na kusababisha Mgogoro uliotokea hadi Shughuli za Uchimbaji kusitishwa na Ofisi za Madini za Kanda ya Mwanza.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.