• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi aagiza kila Kaya Wilayani Kulima Pamba na Mtama msimu wa 2018 ili kutokomeza njaa kwan Wananchi

Imewekwa : September 26th, 2017


Mkuu wa Wilaya ya Misungwi,Juma Sweda ameagiza Wananchi wote Wilayani humu kulima Zao la Pamba na Mtama kwa kila Kaya kuanzia Hekari moja na Zaidi ikiwa ni mpangoa wa Kutokomeza Njaa kwa Wananchi .

Mkuu wa Wilaya huyo,amewataka Wananchi Wilayani humu kutekeleza hayo waakati wa Ziara ya kikazi aliyoifanya ya kutembelea Vijiji vyote 113 vya Wilaya kwa lengo la kuhamasishaKilimo cha Pamba na Mtama ambayo nia mazao yanayostahimili Ukame.

Juma Sweda amewataka Wananchi na Watumishi wa ngazi zote waliopo katika  wilaya hiyi kulima Pamba na Mtama ili kupunguza na kuondokana na tatizo la njaa Wilayani Misungwi  ambapo inakadiriwa kuwa Wilaya ina jumla ya Wananchi 351,607 na kaya 30,420 kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 .

Amesema kwamba Wananchi wanatakiwa kuimarisha na kukuza Uchumi wa taifa kupitia Kilimo cha Pamba kutokana na Zao la biashara kuwa na thamani na wakulima sasa wanaweza kupata fedha kama kipato cha familia na kuwezesha kununua mahitaji mbalimbali ya familia na kuachna na tabia ya kuuza Chakula,kama Mihogo,Mahindi,Mpunga,na mengine pamoja na Mifugo ikiwemo Ng'ombe na Mbuzi hivyo wahakikishe kila Kaya inalima Mazao hayo.

Amepiga marufuku mambo na tabia ya baadhi ya Wakulima ya  kuuza  Chakula kikiwa mashambani na kuonya na kuwataka kuacha mara moja tabia  hiyo na keleza kuwa Serikali itawachukulia hatua ikiwa ni pamoja na kuwafikisha Mahakamani kutokana na kuwa chanzo cha matatizo yanayosababisha upungufu wa Chakula kwa Wananchi na kuwaomba wanapopata mavuno wauze mazao yao kwenye magulio,minada na masoko yaliyopo katika vijiji vyao.

Amewataka Maafisa Ugani wa kata 27 na Vijiji 113  vya Wilaya hii kushirikaiana na Watendaji wa Kata na Vijiji kuhamasisha na Kuwaelmisha Wananchi kuhusu kilimo cha Pamba na Mtama pamoja na kuwatembelea na kukagua mashamba yao na kutoa ushauri wa kitaalamu juu ya kuzingatia na  kutumia kilimo bora na cha kisasa na kinachozingatia kanuni za kilimo.

Ameaagiza Watendaji wa Vijiji kuhakikisha wanaanzisha na kuunda kikosi kazi cha kijiji cha Wakulima wa Pamba ambacho kitahusika na kuratibu na kufuatilia shughuli zote za kilimo hicho kwenye ngazi ya kijiji na kutao mapendekekezo na maoni nakuyawasilisha wilayani ili kuweza kutatuliwa na Kikosi kazi cha Wilaya pia waorodheshe Wakulima wote kwenye Daftari maalum la Wakulima wa Pamba watakaolima msimu huu na kupata takwimu sahihi za Wakulima wa Pamba na kurahisisha utoaji wa mbegu na Pembejeo na madawa ya Pamba.



Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.