• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi aagiza Baraza la Madiwani la Halmashauri kuwachukulia hatua Watendaji walioshindwa kuwasilisha Fedha za Mapato Benki

Imewekwa : August 24th, 2018

     Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi,Kisena Mabuba akifuatiwa ( kulia) na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza,Mhandisi Warioba Sanya wakifuatila mjadala wa Uwasilishaji wa Hoja za CAG katika Mutano wa Baraza la Madiwani.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Mhe Juma Sweda aagiza Baraza la Madiwani la Halmashauri kuwachukulia hatua za Kinidhamu na kisheria Watendaji  waliokusanya fedha za Mapato na hawajawasilisha Benki katika Akaunti ya Halmashauri.

Mkuu wa Wilaya huyo ametoa agizo hilo katika Mkutano wa Baraza Maalum la Hoja wakati akizungumza na  Madiwani pamoja na Watendaji akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe,John Mongela na kuwataka Madiwani wa Halmashauri kuwachukulia hatua za kinidhamu na kisheria Watendaji wote ambao wameshindwa kuwasilisha benki fedha za mapato walizokusanya ambazo zilibainishwa katika Hoja za  Ukaguzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali za mwaka 2016/2017.

      Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Misungwi (Hayupo Pichani) wakati wa Mkutano maalum wa Kujadili Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali za mwaka 2016/2017 katika Ukumbi wa Shule ya Msingi Maalum ya  Mitindo.

Alieleza kwamba Madiwani sasa wasimamie vizuri suala la ukusanyaji wa Mapato ili kuweza kuzuia na kuondoa mianya ya upotevu wa mapato ya Halmashauri na kuwezesha kukusanya kwa kiwango cha asilimia 100 kulingana na bajeti ya Halmashauri na kuhakikisha vyanzo vyote vya mapato vinakusanywa ipasavyo.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Mhandisi Warioba Sanya alisema kuwa Serikali ina lengo la kuondoa hoja za ukaguzi katika  Halmashauri zote nchini hivyo ni jukumu la Watendaji kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia taratibu,sheria na kanuni na kufuata miongozo ya kiutumishi na kuwataka Madiwani kusimamia kikamilifu utekelezaji wa shughuli za Serikali.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi,Mhe,Antony Bahebe Masele (Aliyesimama) akisisitiza kuhusu utekelezaji wa Maagizo kwa Madiwani wakati akifunga Mkutano wa Baraza Maalum la Hoja 

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.