• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Matiko Paulo Chacha akabidhiwa Ofisi na Mkuu wa Wilaya Iringa Veronika Kessy

Imewekwa : February 8th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Msungwi Mhe,  Paulo Matiko Chacha ahimiza  unyenyekevu na ushirikiano  kwa Watumishi katika utendaji kazi na kuwatumikia  Wananchi  Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza

Hayo yamebainishwa mapema leo katika hafla ya makabidhiano ya ofisi baina ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Veronika Kessy  ambaye amehamishwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa pamoja na Mkuu wa Wilaya ya  Misungwi  kwa sasa Mhe, Paulo Matiko Chacha ambapo amesema anapenda kuona Watumishi wanyenyekevu,wenye kujituma katika kazi  kuwatumkia Wananchi ili kuleta Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Ameongeza kuwa yuko tayari kuendelea kusimamia kikamilifu  Miradi yote ya maendeleo aliyokabidhiwa ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ikiwemo Miradi ya Maendeleo ya Kimkakati ya Daraja JPM Kigongo- Busisi na Mradi wa Reli SGR ambayo Serikali imetoa fedha nyingi katika kuendeleza na kukamilisha miradi hiyo ambayo ina manufaa makubwa kwa Wananchi na  Taifa kwa ujumla.

Kwa Upande wake aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Misungwi  Mhe. Veronika Kessy kwa sasa Mkuu wa Wilaya ya Iringa ameeleza anaamini Mkuu wa Wilaya aliyemwachia kijiti katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ataendeleza yale yote yaliyo mazuri ikiwemo katika kusimamia Miradi mbalimbali ya Maendeleo ikiwemo Miradi Mikubwa ya kimkakati ya Daraja la JPM  na SGR pamoja na Miradi mingine  ya Afya,Elimu,Maji na Umeme vijijini(REA) na kuwatakaWatumishi wampe ushirikiano katika utendaji kazi wake.

Mhe, Veronika Kessy ameeleza na kuwashauri Viongozi wa dini kuhimiza wazazi kuwapeleka shule watoto wa kidato cha kwanza kwa wakati ili kuwapa fursa watoto kupata elimu kwani ni haki yao ya msingina badala yake kuacha kuendelea kuwaficha na kuwaozesha ambapo ni kosa kisheria.

Katika Hafla hiyo Mhe.Veronika Kessy amewashukuru Viongozi na Watendaji kwa ushirikiano waliouonyesha kipindi cha Uongozi wake,kuwaomba waendelee na Moyo  huo na kumpa Ushurikiano Mkuu Wilaya ya Misungwi Mhe, Matiko Paul Chacha katika kuendeleza gurudumu la Maendeleo.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Misungwi Bw Benson Mihayo amemshukuru Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe,Veronika Kessy kwa Ushiriano wake kipindi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Misungwi kwa kumpokea na sasa anakwenda katika Halmashauri nyingine na kumtakia kila kheri huko aendako na ataendelea kuaendeleza yale mazuri aliyoacha ikiwemo kusimamia Miradi mbalimbali ya Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kikiwemo ujenzi wa Hospitali ya Wilaya , Ujenzi Vituo vya Afya vya Usagara na Mwawile pamoja na miradi ya ujenzi wa Madarasa katika shule za Sekondari.

Wakati huo huo mmoja wa Wajumbe wa Kamati ya Amani Wilaya ya Misungwi Katekister Leonidas Mtawala akitoa neon la shukrani amewaomba Watumishi na Viongozi kutoa ushiriano kwa Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Matiko Chacha ili kuleta ufanisi mkubwa katika utendaji kazi, na kumwomba Mkuu wa Wilaya huyo akihitaji Ushauri kwa Wazee wapo tayari kutoa ushirikiano wakati wowote.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Matiko Chacha akikabidhiwa Ofisi na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe,Veronika Kessy katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi leo mapema.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Matiko Chacha na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe,Veronika Kessy wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali na kamati ya Ulinzi na Usalama.

Baadhi ya Viongozi wa Dini wakisikiliza kwa makini katika hafla fupi ya makabidhiano ya Mkuu wa Wilaya ya Misungwi  Mhe, Matiko Chacha na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe,Veronika Kessy mapema leo.

Matangazo

  • TANGAZO,KIKAO CHA MADIWANI KWA ROBO YA PILI 2022/2023 February 10, 2023
  • TANGAZO LA MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI -MISUNGWI DC 2022 July 26, 2022
  • TANGAZO USAILI WAKUSANYA MAPATO HALMASHAURI MISUNGWI 2022/2023 August 01, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI HALMASHAURI YA MISUNGWI June 11, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • RC Malima atoa Kongole Wananchi Misungwi kujenga Kituo cha Afya kwa Mapato ya ndani

    March 05, 2023
  • DC Misungwi aagiza Miradi ya Maendeleo kukamilika kwa wakati Misungwi

    March 01, 2023
  • Baraza la Madiwani Misungwi lapitisha Bajeti Bilioni 54.6 mwaka wa fedha 2023/2024

    February 22, 2023
  • DC Matiko Paulo Chacha akabidhiwa Ofisi na Mkuu wa Wilaya Iringa Veronika Kessy

    February 08, 2023
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0768867886

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.