• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Johari Samizi ataja Vipaumbele Kwa Wakuu wa Idara na Watendaji Misungwi

Imewekwa : March 21st, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe, Johari Samizi awataka Wakuu wa Idara na Watendaji wa Kata kufanya kazi na kutatua kero na migogoro ya Wananchi Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.  

 Mhe Johari Samizi amebainisha hayo mapema leo wakati wa Kikao cha kujitambulisha mara baada ya kuanza kazi katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi.  

 Mhe, Johari Samizi amesema kwamba Watendaji na Wakuu wa Idara na Vitengo waendelee kufanya kazi na kutatua kero na matatizo Kwa Wananchi ikiwemo migogoro ya Ardhi, Mashamba na kero zingine.   

 “Ulifanya kazi kupata hivyo Usione kazi kufanya kazi Kwa bidi” Alisisitiza Mhe DC Johari.  

Ameongeza kwamba Watendaji na Viongozi Wahakikishe wanakukusanya Mapato ya ndani ya Halmashauri kutokana na Taarifa za mapato hayo hadi sasa ni asilimia 56 hivyo amewaomba kuongeza juhudi katika kusimamia ukusanyaji wa Mapato ili kufikia lengo la asilimia 100 na kueleza kwamba Halmashauri zipo kwa ajili ya kukusanya Mapato kwa Maendeleo ya Wananchi.


Amewataka pia kuendelea kusimamia miradi ya Maendeleo kikamilifu ikiwemo miradi ya sekta ya elimu, Afya, Miundombinu pamoja na kusimamia na kuhakikisha utoro kwa Wanafunzi unatokomezwa. 

Kwa upande wake Katibu Tawala Wilaya ya Misungwi Bw.Abdi Makange amewakumbusha Watumishi Wote kuendelea kufanya kazi na kuzingatia Nidhamu na kuheshimiana pamoja na kuendelea kufanya maaadili ya Utumishi wa Umma pamoja na kuvaa maavazi kulingana na Waraka wa Mavazi namba 5 kwa Watumishi wa umma.

Naye kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw. Christopher Legonda amewataka Watendaji kuongeza juhudi na kutoa Ushirikiano katika Ukusanyaji wa Mapato kwa kuzingatia taratibu na sheria za Halmashauri na kuhakikisha wanahamasisha wamiliki wa POS Mashine wanàpeleka fedha za makusanyo Benki kwa wakati.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe Johari Samizi akiongea na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Makao Makuu leo mapema katika ukumbi wa Halmashauri ambapo amewataka Watumishi kufanya kazi kwa bidii ili kuleta ufanisi katika utendaji kazi.

Wakuu wa Idara,Vitengo na Watendaji wakiwa makini  kusikiliza maelekezo kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mpya Mhe.Johari Samizi katika kikao cha kujitambulisha kwa Watumishi wa Halmashauri makao makuu ambapo alisisitiza utendaji kazi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.