• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DAS Misungwi awapongeza Watendaji Halmashauri kwa kushirikiana na Madiwani katika kuongeza ufanisi na ukusanyaji wa Mapato.

Imewekwa : April 29th, 2025

Katibu Tawala wa Wilaya ya Misungw Bw. Abdiel Makangei awapongeza watendaji kwa kushirikiana na Madiwani kuongeza kasi na ufanisi katika ukusanyaji wa Mapato Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Wito huo umetolewa tarehe 29 Aprili 2025  katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ambapo Bw. Makange amewataka watendaji pamoja na waheshimiwa Madiwani kushirikiana kwa pamoja kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi.

Bw. Makange ameipongeza idara ya ya frdha na mapato ya Halmashauri na amesisitiza kuendelea na uwekaji mzuri wa mikakati ya bajeti na ukusanyaji wa mapato ili huduma za maendeleo ziwafikie wananchi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe.Kashinje Machibya kupitia Baraza la Madiwani amemtaka Mkurugenzi kuendelea kusimamia kikamilifu mapato na matumizi ya fedha za Halmashauri pamoja menejimenti kwa ujumla wake, na kutoa rai kwa taasisi za Serikali kuendelea kusimamia na kutekeleza miradi ya maendeleo kwa manufaa ya Wananchi.

Hata hivyo Bw. Machibwa ametoa rai kwa meneja wa TARURA kuhakikisha anatekeleza chabgamoto za Barabara katika maeneo mbalimbali yenye uhatibifu ikiwemo barabara za vijivijini kuingia mijini zinafanyiwa urekebishaji ili wananchi waweze kuondokana na adha hiyo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw. Addo Missama  amesema kwamba ataendelea kusimamia kikamilifu Mapato ya Halmashauri kwa uadilifu mkubwa ili kufikia malengo ambayo Halmashauri imekasmia.

Kwa upande wao Wajumbe wa Baraza hilo walipongeza jitihada ya ukusanyaji wa mapato na kutoa mapendekezo mbalimbali ya kuboresha usimamizi wa miradi ikiwemo Barabara  na kusisitiza umuhimu wa Miondombinu hiyo ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.

Mkutano huo wa Baraza la madiwani ulihudhuriwa na Viongozi wa Serikali pamoja na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi, Wataalamu kutoka katika Idara na Vitengo  mbalimbali vya Halmashauri ya Misungwi pamoja na Wananchi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DAS Misungwi awapongeza Watendaji Halmashauri kwa kushirikiana na Madiwani katika kuongeza ufanisi na ukusanyaji wa Mapato.

    April 29, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yafanya ziara ya yatembelea na kupata mafunzo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya nyang'hwale Mkoani Geita

    April 25, 2025
  • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango yaridhishwa na miradi ya maendeleo ya Halmashauri Wilaya ya Misungwi

    April 23, 2025
  • Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yawataka Watendaji wa Kata na Vijiji kutoa Elimu ya Shughuli za Lishe kwa Wananchi.

    February 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.