• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DAS amtaka Mkurugenzi Mtendaji Kusimamia Ukusanyaji Mapato Wilayani Misungwi

Imewekwa : June 28th, 2024

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Abdi Makange amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kuhakikisha anawashughulikia baadhi ya Watendaji wa Vijiji na Kata wasiokaa  katika maeneo yao ya kazi ili kuongeza ukusanyaji wa mapato katika Halmashauri ya wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza.

Mhe. Makange ameyasema hayo leo Juni 28, 2024 katika Hafla fupi ya makabidhiano ya ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri iliyofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi amabapo amesema kwamba zoezi la Ukusanyaji wa mapato limekuwa na changamoto kubwa  mojawapo ya sababu ni pamoja na kuwepo kwa  asilimia 90 ya Watendaji wa Vijiji na Kata za Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi hawakai katika maeneo yao ya kazi hali hiyo inakwamisha utekelezaji mzuri wa Ukusanyaji wa mapato na  kuelekeza suala hilo litatuliwe mapema iwezekanavyo.

Naye Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw. Addo Missama amemshukuru aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw. Joseph Mafuru  hapo awali pamoja na uongozi wa Wilaya kwa ujumla kwa ushirikiano na maelekezo yote aliyopewa leo wakati akikabidhiwa ofisi kwa ajili ya kuanza majukumu na kuwaomba kuendelea kumpa ushirikiano pindi watakapohitajika.

“Napenda kuushukuru sana uongozi wa Wilaya  ya Misungwi kama nilivyokusikia Mheshimiwa Katibu Tawala tayari umeanza kunipatia maelekezo na njia za kupita nashukuru sana kwa hilo na nitaendelea kufanyia kazi zaidi naomba ushirikiano kutoka kwa wenzangu na kwako pia” alieleza Mkurugenzi Mtendaji Addo Missama.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe. Kashinje Machibya amewataka watumishi wa Halmashauri  kuendelea kuongeza juhudi katika utendaji kazi na mabadiliko yaliyofanyika katika nafasi ya Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri yasiwe kikwazo katika uwajibikaji wao na badala yake wachape kazi na kutekeleza miradi na kuongeza mapato kikamilifu..

Mhe. Machibya amesisitiza kwamba anategemea Menejimenti kuongeza juhudi na  kuendelea kumushauri Mkurugenzi Mtendaji na kumpa ushirikiano katika majukumu yake kadri watakavyo hitajika ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu na kuhakikisha Halmashauri ya Misungwi inasonga mbele kwenye sekta zote na kuwaletea Wananchi maendeleo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw.Addo Missama wa kwanza kushoto akisaini baadhi ya nyaraka wakati wa makabadhiano na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Misungwi Bw.Joseph Mafuru leo tarehe 28,Juni 2024 katika ukumbi wa Halmashauri.

Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na baadhi ya Watumishi wa Makao Makuu Halmashauri wakifuatilia na kushuhudia makabidhiano hayo yaliyo fanyika leo 28,Juni,2024 katika ukumbi wa Halmashauri.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.