• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Baraza la Madiwani limeridhia Matumizi ya Tsh,Billioni 1.4 zilizotekeleza Shughuli na Miradi kwa robo ya kwanza Julai hadi Septemba 2017/2018.

Imewekwa : November 17th, 2017


Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, limepokea na kuridhia matumizi ya Tshs. 1,432,582,811 zilizotekeleza shughuli na Miradi mbalimbali ya Maendeleo katika kipindi cha robo ya kwanza ya Julai hadi Septemba kwa mwaka 2017/2018 .

Akitoa taarifa ya Miradi iliyotekelezwa kwa robo ya kwanza ya Julai hadi Septemba 2017 katika Mkutano wa Baraza la Madiwani lililofanyika  katika Ukumbai MGS Hotel Misungwi Mwenyekiti wa Halmashauri,Mhe, Antony Bahebe Masele alisema kwamba, Halmashauri ya Wilaya ilipokea kiasi cha Tshs. 420,052,052 sawa na asilimia 4.66% ya fedha zilizopangwa kwa Mwaka Mzima ambazo ni  Tshs. 9,021,332,000. za kutekeleza MIradi ya Maendeleo, Vile vile Halmashauri ilipokea kiasi cha Tshs. 1,087,969,521.37 toka TASAF za kutekeleza mpango wa kunusuru Kaya Maskini na kufanya jumla ya mapokezi yote kuwa Tshs. 1,508,022,041.37

Mhe,Masele alieleza kuwa  na kutumia kiasi cha Tshs. 1,432,582,811 sawa na asilimia 95% ya fedha zilizotolewa kutekeleza Miradi mbalimbali kwa kipindi hicho ikiwemo Miradi ya Sekta ya Utawala,Elimu Msingi,Mifugo, Mipango,TASAF na Mfuko wa Jimbo ambapo Miradi yote imetekelezwa kwa kiwango na ubora na kulingana na  thamani ya fedha iliyotolewa

Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya Utekelezaji  Miradi kwa robo ya kwanza ilieleza na kuonyesha kwamba katika kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Mwaka 2017/2018, Halmashauri ya wilaya imepanga kutumia kiasi cha Tshs. 9,021,332,000/= kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Sekta za Afya, Elimu, Maji, Ardhi, Ujenzi, Mipango, Maendeleo ya Jamii, Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika, Mifugo na Uvuvi, Mazingira na Utawala.  Fedha hizo zitatoka katika Vyanzo Mbalimbali navyo ni Serikali Kuu, Halmashauri ya Wilaya, Busket Fund, NRWSSP, Mfuko wa Jimbo, SEDP, TASAF, TACAIDS, Road Fund, LGDG na Michango ya Jamii.

Aidha, taarifa hiyo pia ilionyesha kwa Muhtasari namna  Mapokezi na Matumizi ya Fedha za Maendeleo kuishia 30, Septemba 2017 yalivyokuwa kwa kila Sekta kama ifuatavyo:

Na
Jina la Mradi
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika 

1

Miradi ya Mapato ya Ndani (60%)

1,237,427,000

42,492,432

42,492,432

2

Rural  Water Supply and Sanitation

3,935,836,000

0

0

3

Health Sector Basket Fund (HSBF)

759,931,000

0

0

4

Local Govt. Capital Devt. Grant (LGCDG)

1,776,225,000

0

0

5

Mfuko wa Jimbo (CDCF)

67,917,000

33,956,000

0

6

Capitation Secondary

   79,040,000

22,284,180

22,284,180

7

School Meals Secondary

50,537,000

11,714,592

11,714,592

8

Fidia ya Ada Shule za Kutwa Sec

180,680,000

40,367,939

40,367,939

9

Head Masters  Allowance SEC

69,000,000

11,500,000

11,500,000

10

Capitation Prim School

351,225,000

124,281,565

124,281,565

11

Special School Prim School

101,314,000

30,405,812

30,405,812

12

Ward  Educ. Coordinators Prim School

81,000,000

20,250,000

20,250,000

13

Head Teachers Allowance Prim School

331,200,000

82,800,000

82,800,000

14

TASAF

0

1,087,969,521.37

1,046,486,291

    

Jumla Kuu

9,021,332,000

1,508,022,041.37

1,432,582,811


Mhe, Bahebe Masele aliongeza pia kuhusu matumizi ya fedha za Bakaa ambapo Halmashauri ya Wilaya imeendelea kutekeleza Miradi ya bakaa ya Mwaka 2016/2017 yenye thamani ya Tshs. 129,118,748 na Matumizi yaliyofanyika  kuishia Septemba kufikia Tshs. 71,445,429. ambazo zimetekeleza miradi ya Sekta mbalimbali kama inavyoonyesha hapa chini :

NA

JINA LA MRADI

FEDHA ILIYOKUWA IMEBAKI

FEDHA TUMIKA 

1

HSBF

54,821,243

52,555,309

2

Maombi Maalum

60,979,385

5,572,000

3

Mfuko wa Jimbo

717,000

717,000

4

LGDG

11,704,120

11,704,120

5

AGPAHI

897,000

897,000

 

Jumla Kuu 

129,118,748

71,445,429

 

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.