• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Baraza la Madiwani laridhia matumizi ya shilingi Bilioni 1.4 sawa na asilimia 70.47% zilizotekeleza miradi ya Maendeleo

Imewekwa : October 29th, 2024

Baraza la Madiwani laridhia matumizi ya shilingi Bilioni 1.4 sawa na asilimia 70.47% zilizotekeleza miradi ya maendeleo katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2024/2025  katika Halmashauri ya Wilayani Misungwi, Mkoani Mwanza.

Akizungumza katika Mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri tarehe 29 Oktoba 2024, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe, Kashinje Machibya amesema shilingi Bilioni 1.4 zimetumika katika kuwaletea wananchi maendeleo ikiwa ni pamoja na kuongeza na kuboresha miundombinu ya huduma za kijamii kama vile huduma za Sekta ya kilimo, Maji Barabara na Madaraja, Vituo vya Afya na Zahanati  na  Sekta ya Elimu

Mhe, Machibya amesema kuwa miradi hiyo ni muhimu kwa maendeleo ya wilaya na yanatarajiwa kuboresha maisha ya wananchi ambapo uwazi na uwajibikaji katika matumizi ya fedha hizo utahakikisha kwamba kila shilingi inatumika kwa manufaa ya jamii ikiwa ni pamoja na kuwapa huduma stahiki katika kutatua kero mbalimbali zinazotokea katika sekta hizo na kuhakikisha wanaondokana nazo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Misungwi Bw. Addo Missama amesema Watendaji wa Serikali wanapaswa  kuendelea na utendaji kazi wa maendeleo ambapo matumizi bora ya fedha hizo katika miradi ya maendeleo yanayohusu elimu, afya, na miundombinu ni muhimu kuhakikisha kwamba fedha hizo zinatumika kwa ufanisi ili kuboresha maisha ya wananchi wa Misungwi na taifa kwa ujumla.

Kwa upande wao Wajumbe wa Baraza hilo walipongeza hatua hiyo na kutoa mapendekezo mbalimbali ya kuboresha usimamizi wa miradi na kusisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali na Wananchi katika kutekeleza miradi hiyo ili kuhakisha fedha zinatumika ipasavyo na kufikia malengo yaliyokusudiwa hivyo walikubaliana kuimarisha ushirikiano kati ya ofisi za Serikali na jamii ili kufanikisha malengo ya maendeleo ya Wilaya.

Mkutano huo wa Baraza la madiwani ulihudhuriwa na Viongozi wa Serikali pamoja na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi, Wataalamu kutoka katika Idara na Vitengo  mbalimbali vya Halmashauri ya Misungwi pamoja na Wananchi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.