• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Madiwani wapongeza Watendaji kwa kukusanya Mapato Kwa asilimia 97 mwaka 2023 Wilayani Misungwi

Imewekwa : August 25th, 2023

Baraza Madiwani la pongeza na kuridhishwa na juhudi za ukusanyaji wa Mapato ya ndani Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza.

Mwenyeki wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe,Kashinje Machibya  ameyasema hayo jana wakati Mkutano wa Baraza la Madiwani robo ya nne 2022/2023 katika Ukumbi wa Halmashauri kuwa mwaka 2022/2023 Halmashauri ilikasmia kukusanya Bilioni 3.1 na mwaka 2021/2022 Bilioni 2.3 ambapo ongezeko Zaidi  la asilimia 26 kwa malengo yaliyowekwa.

Aidha Bw,Machibya amesema kuwa waliweza kupeleka kwa mkupuo Zaidi ya fedha Milioni 270 kwenye Kata zote 27 kwa ajili ya ukamilishaji wa Miradi mbalimbali katika maeneo yaliyo pangwa. Lakini kwa mwaka wa fedha 2023/2024 Halmashauri imeksamia kukusanya kiasi cha fedha Bilioni 4.8 na tayari Mwezi Julai wamesaanza kusanya mapato na kuanza utekeleza katika Mwaka mpya wa fedha.

Kwa upande wake Katibu Tawala Msaidizi Usimamizi,Ufuatiliaji na Ukaguzi Mkoa wa Mwanza Bw, Kusirie Swai ametoa pongezi kwa uongozi wa  Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi pamoja na ushrikiano wa Waheshimiwa Madiwani kwa kusimamia vizuri  ukusanyaji wa Mapato ya ndani na kutoa rai kwa taasisi ya TARURA,TANESCO,RUWASA kuchukua hatua madhubuti za kuwatumikia Wananchi katika kutatua changamoto walizo nazo kwa wakati.

 Diwani wa kata ya  Mbarika Mhe,Joel Dogani amesema kuwa watasimamia na kuhakikisha wanakusanya Mapato kama agizo la Mhe,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwamba Halmashauri zote nchini zikusanye mapatoya kutosha ili kukidhi mahitaji ya Wananchi.

Sambamba na hilo amesisitiza kuwa kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri iliweza kupeleka fedha kiasi cha shilingi Milioni 10 kwa kata zote 27 kutoka kwenye makusanyo ya mapato ya ndani kwa ajili ya kwenda kutekeleza Miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Naye Diwani wa viti maalumu Mhe, Adelina John ametoa shukrani zake za pekee kwa Madiwani kwa ushirikiano na mshikamano ambao wanautoa katika kuhakikisha wanasimamia vizuri makusanyo mapato ya ndani ili kuweza kufikia malengo waliojiwekea kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Katibu Tawala Msaidizi Usimamizi,Ufuatiliaji na Ukaguzi Mkoa wa Mwanza Bw, Kusirie Swai aliyesimama akitoa maelekezo wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani hapo jana ambapo aliipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kwa mikakati mizuri ya ukusanyaji Mapato ya ndani.

Waheshimiwa Madiwani wakishiri kikao cha Mkutano wa Baraza la Madiwani  Robo ya nne hapo jana katika ukumbi wa Halmashauri ambapo walifurahishwa na ukusanyaji wa mapato ya ndani na kuwataka watendaji wenye dhamana kusimamia vizuri Miradi ya maendeleo.

Wakuu wa Idara na Vitengo mbalimbali wakisikiliza kwa makini mjadala ukiendelea wakati wa Mkutano wa baraza la Madiwani jana katika ukumbi wa Halmashauri.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.