• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Baraza la Madiwani la pongeza ukusanyaji wa Kimkakati wa mapato Wilayani Misungwi

Imewekwa : August 26th, 2022

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Misungwi laipongeza Menjimenti kwa kuvuka lengo la  ukusanyaji  wa mapato ya ndani kuishia Juni mwaka  2021/2022 kwa asilimia 108  Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Akizungumza katika Mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi  uliofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri, Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe, Kashinje Machibya alieleza kwamba Baraza la Madiwani limepongeza na kuridhika na juhudi na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na ukusanyaji wa mapato ya ndani, ambapo kwa mwezi kuanzia Februari hadi Agosti kwa siku wamekadiria kukusanya shilingi 8,800,000/= ambapo kwa Mwaka wamekasimia kupata shilingi Bilioni moja nukta moja kwa mwaka wa fedha 2022/2023

Mhe, Machibya amesema kwamba  kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri iliweza kuvuka lengo la ukusanyaji wa Mapato ambapo iliweza kusanya shilingi Bilioni 2.5 ambapo wamevuka lengo la ukusanyaji mapato kwa asilimia mia moja na nane na wamejipanga kwa dhati kuhakikisha wanatekeleze kwa vitendo ili kuongeza mapato ndani ya Halmashauri .

Akizungumza katika Baraza la Madiwani Mhe, Machibya amewashukuru sana washeshimiwa Madiwani,Mbunge,Wakuu wa Idara,Vitengo na wajumbe wote kwa ujumla wake  kwa kuchangia hoja na  kutoa ushirikiano wa dhati ili kuhakikisha wanakuwa malengo ya pamoja kuweza kufikia yale waliyoyapanga katika usanyaji wa Mapato kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

“Kwa niaba yenu wote kwa ujumla nimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Samia Suluhu Hassani na Mbunge ,kwa mwaka wa fedha 2021/2022 tumepokea shilingi bilioni 13.0.97 fedha za maendeleo kutoka Serikali Kuu na fedha za mapato ya ndani ni zaidi shilingi milioni mia sita na bakaa ambayo inaendelea kutumika na niwapongeze sana”.

Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Misungwi Bw. Benson Mihayo amesema kwamba Menejimenti itaendelea kukusanya mapato kwa bidii ili kufikia malengo waliojiwekea katika Halmashauri ili kuendelea kutatua changamoto za Wananchi kwa kuwaletea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Bw. Benson Mihayo  amesema kwamba Halmashauri katika kipindi cha mwaka wa fedha 2021/ 2022 imeweza kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 2.5 kutoka katika vyanzo vya ndani vya mapato  sawa na asilimia 100.8 na kusisitiza kwamba Menejimenti  wamejiwekea mikakati ya kuendelea kukusanya Mapato na zoezi linaendelea vizuri ambapo wajiwekea maksio ya shilingi milioni 8.8 kwa Mwezi na kwa mwaka wa fedha 2022/23 wamekadiria kukusanya shilingi bilioni 3.1.

Alifafanua kuwa fedha zinazoletwa na Serikali ni lazima zisimamiwe vizuri pamoja na miradi iliyopo ili iweze kuwaletea maendeleo Wananchi pasipo kuwa na upotevu wa fedha,na kuwaelimisha wananchi juu ya matumizi ya  fedha ambazo Serikali inaendelea kuzitoa ni kwa ajili maslahi ya Taifa.

Wakati huo huo Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Misungwi Bw.Mohamed Ally Chorage alisisitiza Madiwani wahakikishe wanasimamia fedha zote za miradi kwenye maeneo yao ili ziweze kuleta maendeleo kwa wananchi aidha aliwataka  Waheshimiwa Madiwani kuhakiksha wanatimiza majukumu yao na kusimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa manufaa ya Wananchi kwa ujumla,

Pia alisisitiza kuwa Elimu na hamasa  iendelee kutolewa kwa Wananchi kuhusiana zoezi la Kitaifa la Sensa kuondoa dhana potofu kwa baadhi ya  wananchi juu ya Sensa kuanzia ngazi za Vitongoji,Vijiji na Kata  kwani kufanya hivyo itasaidia kufanikisha watu kuhesabiwa ,ambapo zeozi hilo linatarajiwa kufanyika siku ya kuamkia tarehe 23/Agosti/2022.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Mbarika Mhe, Mhe Joel Dogani amesema hali ya Mapato kwa sasa iko vizuri ambapo wanakusanya wastani shilingi 16,000,0 00/= kwa siku.Sambamba na hilo ameahidi watasimamia kwa vitendo na wamejipanga kimkakati katika ukusanyaji wa Mapato kwa mwaka wa fedha 2022/2023 watahakikisha wanafikia malengo ya kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 3.1ambapo malengo hayo yanawezekana kutimia endapo watashikana kwa pamoja ili kufkia malengo hayo waliojiwekea.

Waheshimiwa Madiwani wakifuatilia mjadala kwa umakini katika mkutano wa Baraza la Madiwani katka ukumbi wa halmashauri ya Wilaya ya Misungwi.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe,Kashinje Machibya akiongoza mjadala wa Madiwani katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Misungwi,na kuwapongeza pamoja na Timu Menejimenti kwa ujumla kwa kusimamia vizuri Ukusanyaji wa mapato.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.