• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Waziri Dkt. Gwajima aridhishwa na maendeleo ujenzi wa Bweni la Ghorofa 4 Chuo cha Ufundi CDTTI Misungwi

Imewekwa : September 18th, 2024

Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Bweni la Wasichana lenye ghorofa 4 linalojengwa kwa thamani ya shilingi Bilioni 2.2 katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Ufundi Misungwi Wilayani Misungwi ,Mkoani Mwanza.

Dkt. Gwajima ameridhishwa na maendeleo yanayofanywa na Chuo hicho, wakati wa ziara yake Wilayani Misungwi ya kutembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Bweni la Wanafunzi wa kike tarehe 17 Septemba, 2024 sambamba na kuhamasisha jamii kutokomeza ukatili, ndoa, na mimba za utotoni, na ukatili wa kijinsia pamoja na kuhamasisha Wananchi kujiletea maendeleo katika familia na jamii, ameongeza kuwa  Serikali inatambua umuhimu wa Taaluma inayotolewa na Chuo cha Maendeleo ya Jamii Ufundi Misungwi pamoja na mambo mengine Serikali inahakikisha uwepo wa mazingira salama kwa Wasichana na kuwajengea uwezo katika fani ya maendeleo ya jamii na ufundi ili waweze kujimudu na kukuza uchumi binafsi na taifa kwa ujumla.

Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia,Wanawake,na Makundi maalum Mhe. Dkt. Doroth Gwajima akiagana na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Johari Samizi wakati wa ziara ya kikazi hivi karibuni katika Chuo cha CDTTI Misungwi 

Kwa upande wake Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Ufundi (CDTTI) Misungwi Bw. Charles Achuodhu amesema kwamba kwa mwaka wa Fedha 2022/2023  wamefanikiwa kuanzisha mradi wa ujenzi wa Bweni la Wasichana lenye ghorofa 4 na Serikali imeweza kutoa fedha za ujenzi huo ambapo hadi sasa ujenzi upo katika hatua ya msingi uliogharimu kiasi cha shilingi Milioni 300 ambapo kwa mwaka wa fedha 2024/2025 wanatarajia kupokea kiasi cha Fedha shilingi Milioni 500 kwa ajili ya uendelezaji wa ujenzi wa mradi huo na Jengo litakapokamilika linatarajiwa kuwa na uwezo wa kuchukua Wanafunzi 352 wa jinsia ya kike na kwamba kwa sasa Chuo kina uwezo wa kuwahudumia Wanafunzi 200 tu wa bweni wakati mahitaji yaliyopo kwa sasa ni mabweni ya Wanafunzi takribani 600.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Johari Samizi ameishukuru Serikali na kumpongeza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha za ujenzi wa mradi wa Bweni la Wanafunzi wa kike kutokana na uhaba wa mabweni unaokikabili Chuo hicho sasa kutaleta manufaa makubwa na kuongeza uwepo wa Wanafunzi wengi na kuepuka Wanafunzi wengine kukaa umbali mrefu ambao ungeweza kusababisha matukio au vitendo hatarishi pamoja na kuongeza ufaulu.




Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.